Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
Imeandikwa: MTAIJUA KWELI NAYO KWELI (Siyo uongo) ITAWAWEKA HURU, kumekuwepo ongezeko kubwa la makanisa na madhehebu mbalimbali huku kila moja wakija na vimbwanga vyake.
Achana na maji ya upako, yanayotumika na makanisa au Chumvi, au Uvumba na vitu vingine kedekede ifuatayo ni list ya vimbwanga.
1. NYWELE ZA WAUMINI, ndiyo! Waumini wa kanisa la Prophet Suguye waliagizwa kwenda na nywele ili ziombewe na wabarikiwe.
2. WAUMINI KUOGESHWA NA SODA katika video inayotrend katika mitandao ya kijamii anaonekana mchungaji akiwamiminia soda vichwani huku waumini wakipanga foleni ndefu kusubiri huduma.
3. WANAWAKE KUOGESHWA NA MCHUNGAJI nchini Ghana Pastor mmoja alidai kupokea maagizo kutoka kwa Mungu akimuelekeza kuwaogesha wanawake ili kuondoa mikosi. Baada ya kuoga walipewa nguo za ndani mpya 😃😃
4. WAUMINI KUCHAPWA VIBOKO imagine waumini wanalala kifudifudi madhabahuni, halafu mchungaji kiongozi na msaidizi wake wanawalamba viboko (kumpiga pepo aliye ndani yao)
Wajuvi wa mambo mtueleze je, mmewahi kusikia hivi vimbwanga na Je ni maelekezo ya Mungu?
Achana na maji ya upako, yanayotumika na makanisa au Chumvi, au Uvumba na vitu vingine kedekede ifuatayo ni list ya vimbwanga.
1. NYWELE ZA WAUMINI, ndiyo! Waumini wa kanisa la Prophet Suguye waliagizwa kwenda na nywele ili ziombewe na wabarikiwe.
2. WAUMINI KUOGESHWA NA SODA katika video inayotrend katika mitandao ya kijamii anaonekana mchungaji akiwamiminia soda vichwani huku waumini wakipanga foleni ndefu kusubiri huduma.
3. WANAWAKE KUOGESHWA NA MCHUNGAJI nchini Ghana Pastor mmoja alidai kupokea maagizo kutoka kwa Mungu akimuelekeza kuwaogesha wanawake ili kuondoa mikosi. Baada ya kuoga walipewa nguo za ndani mpya 😃😃
4. WAUMINI KUCHAPWA VIBOKO imagine waumini wanalala kifudifudi madhabahuni, halafu mchungaji kiongozi na msaidizi wake wanawalamba viboko (kumpiga pepo aliye ndani yao)
Wajuvi wa mambo mtueleze je, mmewahi kusikia hivi vimbwanga na Je ni maelekezo ya Mungu?