Shujaa Nduna
JF-Expert Member
- Sep 8, 2022
- 599
- 487
Watu wengine wanajitoaga ufahamu tu.Pia mvua zina muda wake hata zichelewapo ni mambo ya kijiografia.Mamlaka ya Hali ya Hewa imeshatangaza mvua zitakuwa this weekend. Sasa kiongozi anasema Ijumaa itakuwa siku maalum ya maombi ya mvua!
Waacheni wazee wapige maombi ya mvua mnaumia wapi mbona wazee wazamani walikua wanasogea misituni kipindi kama iki kuomba mvua mvua inanyesha kesho yake watu wanafurahi jambo kama ilo likifanywa na viongozi wa dini halina ubaya vile vile yani ni picha flani ivi yakumtegemea Mungu wala hakuna shida..toeni uswahili wenu na chuki za kijingaNadhani dini zote safi madhumuni mazuri sana ila kuna shida ya viongozi wa dini na hapa naamanisha dini zote japo mimi ni muislamu lakini sipendi nikiona kiongozi anapotosha ukweli kutafuta mile age, usi take advantage ya watu hasa tunajuwa wengine wanaamini kila kitu hata kufufuliwa wako wanaamini lakini tunajuwa ni sanaa tu. Mvua ni msimu wake usiangalie simu yako forecast halafu ukamwambia mtu kesho mvua itanyesha na ikanyesha ukamfanya yule mtu akushangae wakati unajuwa ukweli umesoma sehemu. Hali ya hewa mwezi mzima wanatabiri ni science sio 100% lakini wanakupa % uwezekano sasa usije leo unasema tuombe mvua wakati unajuwa fika leo utabiri mvua kunyesha halafu ukijikweza du'a zimekubaliwa hapo ni dhihaka kwa watu. Kuna nchi zimeinvest kwenye maarifa kwa kwakuweka satelite huko juu kutuma matabairi( Ni akili Mungu amejalia watu) ukaja wewe hujafanya chochote ukataka usifiwe. Aende aombe mvua kipindi cha kiangazi halafu mvua inyeshe.
Hichi kitu nimekiwaza pia sikuelewa. Kwanini hawakufanya maombi mwezi uliopita?Nikimtaja inaweza kuwa shida ila ukiona watu Ijumaa wanaombea mvua waambie wasipoteze muda wao hata wasipoomba itanyesha
We unajua walichokuwa wanakifanya babu zako kipindi kama iki mvua zikigoma ? Ungeshatolewa kafara wewe sa si bora dini zakuletewa ustaarabu upo kidogoUzuzu wa watanzania kwenye ubora wake, dini za kuletwa na merikebu!zimetamalaki
Shekh mihogo jeKuna shekh alafu kuna shekh ubwabwa.
Waacheni wazee wapige maombi ya mvua mnaumia wapi mbona wazee wazamani walikua wanasogea misituni kipindi kama iki kuomba mvua mvua inanyesha kesho yake watu wanafurahi jambo kama ilo likifanywa na viongozi wa dini halina ubaya vile vile yani ni picha flani ivi yakumtegemea Mungu wala hakuna shida..toeni uswahili wenu na chuki za kijing
Mwenyezi Mungu kabla ya kuombwa kasema nitawashushia mvua na barka zote hata wakati wa majahili watu wanaabudu sanamu Mungu aliwashushia mvua. zamani hakuna tech watu hawajui lakini wako watu wanalikuwa wanatizama mwezi tu na wanakwambia mvua inakuja, jua likiwa kali sana unajuwa mvua inakuja/ Shida sio maombi shida wasiseme mvua zimekuja sababu tumeomba nadhani wangefanya maombi ya kushukuru tunaanza kupata mvua sio kuomba, huombi kitu umeshapewa unashukuru ukipewa ili upewe zaidi. Badilisha kauli MAOMBI YA KUSHUKURU KUPATA MVUA KARIBU SIO MAOMBI TUPATE MVUAWaacheni wazee wapige maombi ya mvua mnaumia wapi mbona wazee wazamani walikua wanasogea misituni kipindi kama iki kuomba mvua mvua inanyesha kesho yake watu wanafurahi jambo kama ilo likifanywa na viongozi wa dini halina ubaya vile vile yani ni picha flani ivi yakumtegemea Mungu wala hakuna shida..toeni uswahili wenu na chuki za kijinga
Huu ni upumbavu katika kiwango cha juu kutoka kwa middle class, ila sishangai sana maana umejitoa ustaarabu wako na utamaduni wako na kuuona wa kuletewa ndio bora,maisha ya mababu zangu yalikua ni bora kuliko ya haya matapeli wa kidini, Kamara ilikua ni sehemu ya maisha, nothing wrong na hilo,We unajua walichokuwa wanakifanya babu zako kipindi kama iki mvua zikigoma ? Ungeshatolewa kafara wewe sa si bora dini zakuletewa ustaarabu upo kidogo
Sisi wabongo tumepata uhuru mapema sana kwanza ilitakiwa hadi saiz tuwe chini ya mkoloni
Ndio maana kina mwamposa hua wanatayarisha watu kujidai wameponeshwa magonjwa kama kisukari na kensa. Usanii mtupu. Huwezi ukaona eti wapo hospitalini kwenye mawodi wanaponesha wagonjwa wa kweli😂🏃💃🤸Mamlaka ya Hali ya Hewa imeshatangaza mvua zitakuwa this weekend. Sasa kiongozi anasema Ijumaa itakuwa siku maalum ya maombi ya mvua!