Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Simulation hio mzeeMpiga picha alikuwa Nani???
Historia ya UONGO hiyo tunaomba utuambie aliepiga picha ni Nani??? Au walikuwa wanajipiga picha wenyewe wanyama???
Sent using Jamii Forums mobile app
Dinasour walikuwepo kuna historical evidence ya fossils zao tena moja wajerumani walituibia hapa Tanzania.Moja ya hadithi za kale zisizo sahihi kwa kutoka upande wowote uwe wa science au religion ni pamoja na hii haijapata kudhibitika kwa njia iliyo nyooka au sio Kiranga