Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
ndiyo mkuu,,,,Rejea kwenye hiyo thread ya mr. juma hasani!Hahaha isack newton umerudi tena???
Huwezi mpaka ufanye mtihani wa form six ndio uendelee na diploma
Sasa ukimaliza Cerificate itategemea ikiwa
umepata kazi halafu pia mazingira ya kazi
Unaweza kupilekwa kijijini hiyo Diploma
uisomea wapi ? Labda ukimaliza Certificate
uendelee na Diploma.
noo kuna diploma za
aina mbili za education moja ambayo inaratibiwa na wizara ya elimu moja
kwa moja na mitihani yake ipo chini ya necta. Diploma hii ndo mpaka
ufanye mtihan wa f6. Aina nyingne ya diploma ni ile inayotolewa na vyuo
mbalimbali binafsi mfano SMMUCO,TUMAINI,Saut, open nk. Diploma hizi
unameweza kusoma either uwe na certificate au umefanya paper ya 6.
Umenielewa?
kuna diploma za aina
mbili za education moja ambayo inaratibiwa na wizara ya elimu kupitia
vyuo vya ualimu moja kwa moja na mitihani yake ipo chini ya necta.
Diploma hii ndo mpaka ufanye mtihan wa f6. Aina nyingne ya diploma ni
ile inayotolewa na vyuo mbalimbali binafsi mfano SMMUCO,TUMAINI,Saut,
open nk. Diploma hizi unameweza kusoma either uwe na certificate au
umefanya paper ya 6.
ndio ukimaliza certificate
unaweza kuendelea na diploma uku ukiwa unafanya kazi. itakuwa rahisi
kuendelea na masomo uku unafanya kazi ikiwa utakuwa unasoma session ya
jioni (evening class) kama chuo inayo.
kwa mfano umepangiwa kijijini huwezi kusoma Open university ambayo ina centre kila mkoa?
lakini mkuu eti nasikia lazima uwe na experience isiyo pungua miaka miwili ndo uendelee na diploma ni kweli?
noo kuna diploma za aina mbili za education moja ambayo inaratibiwa na wizara ya elimu moja kwa moja na mitihani yake ipo chini ya necta. Diploma hii ndo mpaka ufanye mtihan wa f6. Aina nyingne ya diploma ni ile inayotolewa na vyuo mbalimbali binafsi mfano SMMUCO,TUMAINI,Saut, open nk. Diploma hizi unameweza kusoma either uwe na certificate au umefanya paper ya 6. Umenielewa?
kwa mfano umepangiwa kijijini huwezi kusoma Open university ambayo ina centre kila mkoa?
wewe unasema kweli? Samahani Hebu nipe ufafanuzi juu ya hili
Open University wanatoa diploma ya ualimu? Nauliza tu!