Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
Habari wana JF!!!!!!
mimi ni mgeni ktk jamvi hili, naomba kuuliza kwa kupitia mtandao wa ndugu Isaack Newton, Nina dv.4 ya 27 nime apply chuo cha ualimu Enkenford cha Tanga, Je nikisha maliza certificate ninaweza kuendelea na diploma huku nafanya kazi? naomba tuwe waungwana jamani!
mimi ni mgeni ktk jamvi hili, naomba kuuliza kwa kupitia mtandao wa ndugu Isaack Newton, Nina dv.4 ya 27 nime apply chuo cha ualimu Enkenford cha Tanga, Je nikisha maliza certificate ninaweza kuendelea na diploma huku nafanya kazi? naomba tuwe waungwana jamani!