diploma in education

diploma in education

Unajua nini kuna baadhi ya watu wanadai kwamba hauwezi kusoma diploma kama hauja fanya mtihani wa f 6 kwahiyo nahitaji ufafanuzi zaidi juu ya hili tena ikibidi 2pia hata link

ndio mana nikakwambia kuwa kuna diploma za aina mbili ipo unayoweza kujiunga kama ukiwa na cheti na nyingne mpaka ufanye paper ya f6.
 
ili upewe ruhusa ya
kusoma ndo unatakiwa ukae miaka miwli kazin lakini kama hutaki kufanya
kazi unaweza kuunganisha hapo hapo ukasoma dip

kumbe ni uamuzi wa mtu kama anataka kuendelea na kazi au kusoma diploma na wala sio lazima ufanye kazi?
 
Nimekuelewa mkuu,,,,,,,,,,,! kabla hauja log out mkuu, naomba unipe ufafanuzi wa grade za ualimu sijui kuna grade A-B n.k. maana sifahamu vizuri!

sifahamu grade za ualimu mkuu. wadau wengine wanaweza wakakusaidia kuzijua.
 
Back
Top Bottom