Diploma in science and laboratory technology

Diploma in science and laboratory technology

ka washi

Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
38
Reaction score
34
Habar za kutwa humu,

Naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa cha habar hapo juu,naomba kujua hiyo kozi inahusika zaid na masuala gani na soko lake la ajira limekaaje, ni kozi inayotolewa pale muslim university of Morogoro na mwaka nategemea kwenda kusoma.
 
Habar za kutwa humu,

Naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa cha habar hapo juu,naomba kujua hiyo kozi inahusika zaid na masuala gani na soko lake la ajira limekaaje, ni kozi inayotolewa pale muslim university of Morogoro na mwaka nategemea kwenda kusoma.
Unakua mtu wa maabara za shule,vyuo,viwandani na taasisi za utafiti.

Yaani lab technician,tofauti na yule wa hospital, wewe utakua unacheza na vikemikali vya shuleni au chuoni au maandalizi ya praticals.

Tatizo wanasoma sana kemia na baioloji,fizikia ni kidogo,matokeo yake wakifika maabara za vyuoni wanahangaika sana.

USHAURI: HIYO KOZI USISOME ILE ILIYOKO SUA,NI UONGO NA PROPAGANDA TUPU HAKUNA KITU PALE.
YA MUSLIM NI HERI KULIKO YA SUA.
 
Unakua mtu wa maabara za shule,vyuo,viwandani na taasisi za utafiti.

Yaani lab technician,tofauti na yule wa hospital, wewe utakua unacheza na vikemikali vya shuleni au chuoni au maandalizi ya praticals.

Tatizo wanasoma sana kemia na baioloji,fizikia ni kidogo,matokeo yake wakifika maabara za vyuoni wanahangaika sana.

USHAURI: HIYO KOZI USISOME ILE ILIYOKO SUA,NI UONGO NA PROPAGANDA TUPU HAKUNA KITU PALE.
YA MUSLIM NI HERI KULIKO YA SUA.
[emoji419]
 
Unakua mtu wa maabara za shule,vyuo,viwandani na taasisi za utafiti.

Yaani lab technician,tofauti na yule wa hospital, wewe utakua unacheza na vikemikali vya shuleni au chuoni au maandalizi ya praticals.

Tatizo wanasoma sana kemia na baioloji,fizikia ni kidogo,matokeo yake wakifika maabara za vyuoni wanahangaika sana.

USHAURI: HIYO KOZI USISOME ILE ILIYOKO SUA,NI UONGO NA PROPAGANDA TUPU HAKUNA KITU PALE.
YA MUSLIM NI HERI KULIKO YA SUA.
Vip kuhusu ajira zake mkuu zinapatikan au mbaa ujiajiri??
 
Vip kuhusu ajira zake mkuu zinapatikan au mbaa ujiajiri??
Kujiajiri utajiajiri vipi?? ,Utafungua kiwanda au shule?? Iyo kozi ni lazima utafute ajira, Ajira zipo japo lazima CONNECTION sababu kuomba kazi viwandani bila SUPPORT sidhani kama unatoboa, kuna jamaa angu kaunganishwa na mtu saivi anakula maisha kiwanda cha MTIBWA SUGAR .
 
Habar za kutwa humu,

Naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa cha habar hapo juu,naomba kujua hiyo kozi inahusika zaid na masuala gani na soko lake la ajira limekaaje, ni kozi inayotolewa pale muslim university of Morogoro na mwaka nategemea kwenda kusoma.
Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) Kampasi ya Mwanza inawatangazia waombaji fursa za masomo ya ngazi ya STASHAHADA yaani Ordinary Diploma katika fani zifuatazo:

1.Ordinary Diploma in Science and Laboratory Technology
2. Ordinary Diploma in Food Processing Technology
3. Ordinary Diploma in Leather Products Technology
4. Ordinary Diploma in Leather Processing Technology
Sifa za mwombaji,
Elimu ya kidato Cha Nne (IV) na Ufaulu wa alama "D" au zaidi kwenye masomo ya sayansi mfano FIZIKIA ,Engineering Science, Food and Nutrition, KEMIA au HISABATI
AU
Cheti cha VETA Daraja la Tatu (NVA Level 3)

Pia ukiomba kusoma kozi zetu ni rahisi kupata mkopo wa serikali kwa wahitimu wa Kidato Cha nne (4) na sita (6).

Huduma ya ushauri na maelekezo namna ya kujaza ombi (Application) wakati wa udahili (Admission), inatolewa BURE.

Namna ya kujiunga kupitia on line tumia link ya
admission@dit.ac.tz

Kwa maelekezo zaidi, wasiliana nasi kwa simu na barua pepe zifuatazo:
0625 833 819/0629153727/ 0767 605 438/0754 660 773/ au fika DIT Kampasi ya Mwanza Ilemela,Barabara ya Makongoro au Airport ,kwa maelekezo zaidi.
Barua pepe: info@mwanzacampus.dit.ac.tz
DIT KAMPASI YA MWANZA 2024, KWA MAENDELEO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA NCHINI.
 
bbfc7f8cf8724acdbed980bef232924b.jpg
 
Back
Top Bottom