Shabby kng
Member
- Jul 4, 2013
- 41
- 6
Ndugu zangu wana jf nmemalza form6 na nina 3ya15 hivyo cutoff point za kusoma md sina hvo nahitaji ushauri wenu nikasome degree ye utcha au dip ya clinical officer(co) maana inasemekana co inalpa kuliko hata dgree ya utcha. Msaada tafadhari