Kuna jamaa alikuwa anajiita kalage sijui kapotelea wapi alikuwa yuko vizuri.
Jamaa Alikuwa Anapenda Sana Video Za Ndani Ya Studio,ila he was amaizing kwa zama hizo.
Dah!!!jamaa nilikuwa nazikubari sana kazi zake walikuwa wanakimbizana na Adamu Juma kwa nyuma E media kidogo nae alikuwa anasogea sogea na huko Kenya Ogopa walikuwa nao wanakimbiza.John kalaghe yuko Ila aliamua aingie kwenye movies
yeah mkuuNamkubali Jinsi Hanscana Anavyocheza Na Rangi Kwenye Video Zake.
John kalage hatar sana video ya iveta ali tengeneza huyu mwambaKuna jamaa alikuwa anajiita kalage sijui kapotelea wapi alikuwa yuko vizuri.
Ilikuwa zamani, sasa hivi ni Hanscana.Adam Juma bado anabaki mhimili mkubwa Wa director Wa bongo, lakini nawakubali wengine kama
Ivan, msafiri, Tony blaze, na joozey
Yeah kwa zamani ndio lakini hascana sijamuandika maana rangi zake zinanitia ukakasiIlikuwa zamani, sasa hivi ni Hanscana.