Director July Tax unakosea hapa tu...

Director July Tax unakosea hapa tu...

Wasukuma Bwana , yaani hizi movie za majini yanayoingia nyumbani kwa mtu halafu yanavua viatu kwenu ndio movie kali !!

Halafu Mel Gibson akija kusikia aliyefananishwa nae anaweza kukupiga Risasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kila mtu wa mwanza ni msukuma jully tax ni mtu wa kigoma (probably congo) kwani alikuwa na undugu na yule mtangazaji wa star /RFA Msabaha aliyefariki alikuwa kwenye Kipindi cha nyimbo za kilingala na kabla ya hapo alikuwa kinyozi na mcheza shoo hapo mabatini wao hupaita calfornia kuhusu movie zake sijawahi angalia hata moja sina cha ku coment maana angekuwa tu ni robo ya Gibson tungezungumza mengine ama ali maanisha marry DICKson dada wa kihaya Mwalimu wa shule flani hapo mwanza
 
Wasukuma Bwana , yaani hizi movie za majini yanayoingia nyumbani kwa mtu halafu yanavua viatu kwenu ndio movie kali !!

Halafu Mel Gibson akija kusikia aliyefananishwa nae anaweza kukupiga Risasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Bablai nmesema kwa Bongo, ni sawa na Kusema manula n oliver can wa bongo
 
Kwa hiyo ata Saradini hukuieewa mzee?

Nimesema Mel wetu wa bongo. Ila sio kumfananisha moja kwa moja..
Si kila mtu wa mwanza ni msukuma jully tax ni mtu wa kigoma (probably congo) kwani alikuwa na undugu na yule mtangazaji wa star /RFA Msabaha aliyefariki alikuwa kwenye Kipindi cha nyimbo za kilingala na kabla ya hapo alikuwa kinyozi na mcheza shoo hapo mabatini wao hupaita calfornia kuhusu movie zake sijawahi angalia hata moja sina cha ku coment maana angekuwa tu ni robo ya Gibson tungezungumza mengine ama ali maanisha marry DICKson dada wa kihaya Mwalimu wa shule flani hapo mwanza
 
Kwa hiyo ata Saradini hukuieewa mzee?

Nimesema Mel wetu wa bongo. Ila sio kumfananisha moja kwa moja..
Nisamehe bure niliacha kuangalia bongo muvi siku nyingi kwa sababu ya storyline zao achilia mbali uigizaji mwanzoni walianza vizuri walipoanza kuona soko linakuwa wakaanza kuharibu zaidi na kukosa umakini mikasa mizuri lakini inakosa weredi wa kupanga maongezi au kufanya utafiti sikumbuki jina la muvi mtu alidhulumiwa kampuni kwa maneno tu wakati kampuni ni jambo la kisheria wanashindwa kutofaitisha bishara zetu za kiswahili amabazo unaweza dhuluma kirahisi na kitu kilichoundwa kisheria na bahati mbaya ukitaka au ukiwapa ushauri wengi wao wanasema vifaa hebu chukilia vifaa vya film noir au alivyotumia charlie chaplin na vya bongo movie vipi vya kisasa kisha angalia sanaa yake ndo utagundua tatizo si vifaa tu bali ukosefu wa maarifa pia unachangia ila nitaitafuta niitazame namjua jully tax vizuri binafsi kuliko kazi zake
 
Mkuu utakuchaga kupigwa mawe kwa kulisha watu maneno

Nilisema '... Kwa upande wangu, jamaa anaukaribia uwezo wa Mel Gibson kwa Bongo yetu, japo kwa mbali kdogo..'

Kwa upande wangu, jamaa ANAUKARIBIA UWEZO WA MEL GIB KWA BONGO YETU JAPO KWA MBALIII...

kama ulicheza ndondo, kuna wale matraiker tulikuwa tunawaita Zidane, Ronaldo, Rivaldo nk. Kwa hiyo nao n makosa???
Mkuu hapa ulimaanisha nini??? [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Ahahahah.. hyo ya mtu kumdhulumu mwenzake company kwa maneno movie inaitwa ' Sikio la Kufa '.. [emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali aise

Nisamehe bure niliacha kuangalia bongo muvi siku nyingi kwa sababu ya storyline zao achilia mbali uigizaji mwanzoni walianza vizuri walipoanza kuona soko linakuwa wakaanza kuharibu zaidi na kukosa umakini mikasa mizuri lakini inakosa weredi wa kupanga maongezi au kufanya utafiti sikumbuki jina la muvi mtu alidhulumiwa kampuni kwa maneno tu wakati kampuni ni jambo la kisheria wanashindwa kutofaitisha bishara zetu za kiswahili amabazo unaweza dhuluma kirahisi na kitu kilichoundwa kisheria na bahati mbaya ukitaka au ukiwapa ushauri wengi wao wanasema vifaa hebu chukilia vifaa vya film noir au alivyotumia charlie chaplin na vya bongo movie vipi vya kisasa kisha angalia sanaa yake ndo utagundua tatizo si vifaa tu bali ukosefu wa maarifa pia unachangia ila nitaitafuta niitazame namjua jully tax vizuri binafsi kuliko kazi zake
 
Ahahahah.. hyo ya mtu kumdhulumu mwenzake company kwa maneno movie inaitwa ' Sikio la Kufa '.. [emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali aise
Kwa hyo unataka kusema Jully Tax ni director mzuri mkuu???
 
Kwny midundo ya kutisha kwa bongo hayupo wa kumsogelea..

Nikiri pasina kuacha shaka, Mimi Firstclass ninakiri kwa kinywa changu kuwa, JT n mkali..
Kwa hyo unataka kusema Jully Tax ni director mzuri mkuu???
 
Naona watu mnakomaa kuhishana na jamaa wakati ndiye Jully Tax mwenyewe.
 
Back
Top Bottom