Ushamba mzigo kaka, Nimejikuta nimekumbuka Mwandishi mmoja wa habari za michezo za star tv, badala ya kutaja Jina la team ya Seattle Seahawks yeye akataja radio Eti Seto Sewaki 😛 😛 😛 😛
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamba mzigo kaka, Nimejikuta nimekumbuka Mwandishi mmoja wa habari za michezo za star tv, badala ya kutaja Jina la team ya Seattle Seahawks yeye akataja radio Eti Seto Sewaki 😛 😛 😛 😛
Si kila mtu wa mwanza ni msukuma jully tax ni mtu wa kigoma (probably congo) kwani alikuwa na undugu na yule mtangazaji wa star /RFA Msabaha aliyefariki alikuwa kwenye Kipindi cha nyimbo za kilingala na kabla ya hapo alikuwa kinyozi na mcheza shoo hapo mabatini wao hupaita calfornia kuhusu movie zake sijawahi angalia hata moja sina cha ku coment maana angekuwa tu ni robo ya Gibson tungezungumza mengine ama ali maanisha marry DICKson dada wa kihaya Mwalimu wa shule flani hapo mwanzaWasukuma Bwana , yaani hizi movie za majini yanayoingia nyumbani kwa mtu halafu yanavua viatu kwenu ndio movie kali !!
Halafu Mel Gibson akija kusikia aliyefananishwa nae anaweza kukupiga Risasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshamsahau huyo tangu abahatishe na Saradini.
Nimesema kwa bongo mkuu.. muwage mnaelewa basi..Kumfananisha Mel G. Na July Tax si sawa na kufananisha kitambi na Mimba Mkuu
Bablai nmesema kwa Bongo, ni sawa na Kusema manula n oliver can wa bongoWasukuma Bwana , yaani hizi movie za majini yanayoingia nyumbani kwa mtu halafu yanavua viatu kwenu ndio movie kali !!
Halafu Mel Gibson akija kusikia aliyefananishwa nae anaweza kukupiga Risasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kila mtu wa mwanza ni msukuma jully tax ni mtu wa kigoma (probably congo) kwani alikuwa na undugu na yule mtangazaji wa star /RFA Msabaha aliyefariki alikuwa kwenye Kipindi cha nyimbo za kilingala na kabla ya hapo alikuwa kinyozi na mcheza shoo hapo mabatini wao hupaita calfornia kuhusu movie zake sijawahi angalia hata moja sina cha ku coment maana angekuwa tu ni robo ya Gibson tungezungumza mengine ama ali maanisha marry DICKson dada wa kihaya Mwalimu wa shule flani hapo mwanza
Kwa hyo mkuu Bongo kuna Mel Gibson 😝 😝 😝 😝Nimesema kwa bongo mkuu.. muwage mnaelewa basi..
Kwa hyo mkuu Bongo kuna Mel Gibson [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mkuu hapa ulimaanisha nini??? 😝 😝 😝jamaa anaukaribia uwezo wa Mel Gibson kwa Bongo yetu
Nisamehe bure niliacha kuangalia bongo muvi siku nyingi kwa sababu ya storyline zao achilia mbali uigizaji mwanzoni walianza vizuri walipoanza kuona soko linakuwa wakaanza kuharibu zaidi na kukosa umakini mikasa mizuri lakini inakosa weredi wa kupanga maongezi au kufanya utafiti sikumbuki jina la muvi mtu alidhulumiwa kampuni kwa maneno tu wakati kampuni ni jambo la kisheria wanashindwa kutofaitisha bishara zetu za kiswahili amabazo unaweza dhuluma kirahisi na kitu kilichoundwa kisheria na bahati mbaya ukitaka au ukiwapa ushauri wengi wao wanasema vifaa hebu chukilia vifaa vya film noir au alivyotumia charlie chaplin na vya bongo movie vipi vya kisasa kisha angalia sanaa yake ndo utagundua tatizo si vifaa tu bali ukosefu wa maarifa pia unachangia ila nitaitafuta niitazame namjua jully tax vizuri binafsi kuliko kazi zakeKwa hiyo ata Saradini hukuieewa mzee?
Nimesema Mel wetu wa bongo. Ila sio kumfananisha moja kwa moja..
Mkuu hapa ulimaanisha nini??? [emoji13] [emoji13] [emoji13]
mkuu ni mastraiker na sio matraiker, samahani kwa masahihisho hayo mkuu.... Je unayapokea hayo masahihisho 😀 😀 😀 😀 😀matraiker
mkuu ni mastraiker na sio matraiker, samahani kwa masahihisho hayo mkuu.... Je unayapokea hayo masahihisho 😀 😀 😀 😀 😀
Nisamehe bure niliacha kuangalia bongo muvi siku nyingi kwa sababu ya storyline zao achilia mbali uigizaji mwanzoni walianza vizuri walipoanza kuona soko linakuwa wakaanza kuharibu zaidi na kukosa umakini mikasa mizuri lakini inakosa weredi wa kupanga maongezi au kufanya utafiti sikumbuki jina la muvi mtu alidhulumiwa kampuni kwa maneno tu wakati kampuni ni jambo la kisheria wanashindwa kutofaitisha bishara zetu za kiswahili amabazo unaweza dhuluma kirahisi na kitu kilichoundwa kisheria na bahati mbaya ukitaka au ukiwapa ushauri wengi wao wanasema vifaa hebu chukilia vifaa vya film noir au alivyotumia charlie chaplin na vya bongo movie vipi vya kisasa kisha angalia sanaa yake ndo utagundua tatizo si vifaa tu bali ukosefu wa maarifa pia unachangia ila nitaitafuta niitazame namjua jully tax vizuri binafsi kuliko kazi zake
Kwa hyo unataka kusema Jully Tax ni director mzuri mkuu???Ahahahah.. hyo ya mtu kumdhulumu mwenzake company kwa maneno movie inaitwa ' Sikio la Kufa '.. [emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali aise
Kwa hyo unataka kusema Jully Tax ni director mzuri mkuu???
Kwa hyo unataka kusema Jully Tax ni director mzuri mkuu???