Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
We umemaliza kila kitu nilichotaka kuandika... Huyu jamaa kweli ni kiazi tena mbatataAngalia filamu/muvi nyingi za kibongo utakuta mule kwenye maandishi
Starring: KANUMBA Producer: KANUMBA Director: KANUMBA...
Ofcourse, wabongo wengi huwa tunajifanya wajuaji sana hata katika maeneo ambayo inabidi tujifanye wajinga ili kujifunza zaidiActor-Kanumba
director-kanumba
producer-kanumba
camera man-kanumba
lighter-kanumba
halafu unamshangaa mzungu?
Kiazi Mviringo KabisaaMleta mada ni kiazi
Nyie ndo washamba. Hiyo filamu inahusu utalii wa Tanzania, kulikuwa hakuna sababu ya huyo mzungu kuwepo kwenye filamu. Hujui kuwa kwa kuonekana tu kalipwa pesa ndefu sana? Maana katokea kama co starring kitu ambacho si sahihi. Kilichotakiwa kuonekana ni vivutio vilivyokuwa vinatangazwa na siyo huyo mzungu. Labda ingetokea sauti yake tu hapo ni sawa. Gharama zisizokuwa za lazimaWe umemaliza kila kitu nilichotaka kuandika... Huyu jamaa kweli ni kiazi tena mbatata
Uko sahihi haikuwa sawa. Badala ya kuonyeshwa vivutio tunaishia kumuangalia mzungu mwanzo mwisho. Si sawaWakuu kwanini Yule mzungu aonekane ndani ya movie
Yeye ni Nani kwenye sector ya utalii?
Ni sahihi Kwa director kuwa ndani y movie?
Kwanini asinge wekwa mtanzania au kkiongoziwa nchi Fulani?
M naona kama haipo sawa hivi