hatedthemost
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 469
- 324
Bodi ya mikopo imefungua rasmi dirisha la maombi.
Kazi kwenu.
Kazi kwenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali magumu hayaKwani TCU wameachia vyuo vipokee wanafunzi?
Maombi ya mikopo yanaanza tu hata kabla ya maombi ya vyuo ila majibu ya mikopo yatatolewa baada ya machaguo ya vyuo.Kwani TCU wameachia vyuo vipokee wanafunzi?
Sasa hapo ndo wanakuwa wamefanya nn. Maana kigezo Cha pili kwenye kuomba mkopo ni uwe umepata admission ya chuoMaombi ya mikopo yanaanza tu hata kabla ya maombi ya vyuo ila majibu ya mikopo yatatolewa baada ya machaguo ya vyuo.
Hmmmm sidhani kama ni hivyo kigezo cha kupata ni uwe umepata admission lakini si cha kuomba.Sasa hapo ndo wanakuwa wamefanya nn. Maana kigezo Cha pili kwenye kuomba mkopo ni uwe umepata admission ya chuo
Wanafanya hivyo kuweka nafasi kati ya diploma holders,waliomaliza f6 miaka ya nyuma na waliokosa then hpo Katikati wengine watajumuika matokeo yakitoka ndio maana ni miezi mitatu kwa maoni ynguMaombi ya mikopo yanaanza tu hata kabla ya maombi ya vyuo ila majibu ya mikopo yatatolewa baada ya machaguo ya vyuo.
Kwa maana hio watu wa form six wana miezi miwili tu yakuomba mkopo na sio 90 kama wanavyo sema kwenye mwongozo wa diploma ndo wana siku 90Wanafanya hivyo kuweka nafasi kati ya diploma holders,waliomaliza f6 miaka ya nyuma na waliokosa then hpo Katikati wengine watajumuika matokeo yakitoka ndio maana ni miezi mitatu kwa maoni yngu
Kwani dirisha walisema "form 6 wana Siku 90" au waombaji Wana siku 90Kwa maana hio watu wa form six wana miezi miwili tu yakuomba mkopo na sio 90 kama wanavyo sema kwenye mwongozo wa diploma ndo wana siku 90
Apply kama una vigezo.Mapema sana??
Mpaka mtu anaeapply means uwezo hakuna.Kama una kauwezo walau kadogo ka kusoma bila kutegemea mkopo nakushauri achana na mikopo, narudia tena achana na mikopo ya loan board.
Najua leo hutanielewa ila wenda utanielewa ukishamaliza chuo (when its too late).
Waombaji si form six na watu wa diploma? Ndo maana nikasema form six wana mwezi tu diploma ndo wana siku 90 .au kuna waombaji wengine tofauti na hao.Kwani dirisha walisema "form 6 wana Siku 90" au waombaji Wana siku 90
Sio kwa woteMpaka mtu anaeapply means uwezo hakuna.
Mbele kwa mbele.
[emoji573]
True wengine unakita wana uwezo kabisa lakini anaji trap kwenye mkopoSio kwa wote
Hilo dirisha liwe on mpaka October maana matokeo ya six yakianza itakuwa moto sana mwezi mmoja tu hautoshi kwa kweliDirisha ndo lishafunguliwa naona pipo zinabishana na NDIO 😂😂😂😂