Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Mh! Jamani hata application deadline bado haijaisha, munaulizia ajira zinatoka lini. Kuweni na subira kidogo...! Mimi ninavyofikiria post zitatoka December na kuripoti kituoni ni January.
 
Mh! Jamani hata application deadline bado haijaisha, munaulizia ajira zinatoka lini. Kuweni na subira kidogo...! Mimi ninavyofikiria post zitatoka December na kuripoti kituoni ni January.
Mkuu hujawah kusubir kazi ukiwa huna kazi uone tabu yake.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Mh! Jamani hata application deadline bado haijaisha, munaulizia ajira zinatoka lini. Kuweni na subira kidogo...! Mimi ninavyofikiria post zitatoka December na kuripoti kituoni ni January.
Nauliza kwa Nia njema tu ya kujua namaanisha baada ya zoez la kuapply kuisha
 
Kichwa kilipaswa kusomeka "Dirisha la Rushwa ya Ualimu lafunguliwa" .
 
kama kuna mtu naye inamletea unauthorized user kwenye log in msaada please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…