Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

026 216 0210
Namba ya bure TAMISEMI
unapiga kuuliza tatizo lolote!
Pigeni kuuliza kuhusu miaka na tarehe mbona zinarudi nyuma?
Mfano 5 September itakua 4 September
We ulivouliza wamekwambiaje
 
Mara ngapi wanatoa tangazo la ajira? Hizo ni ajira za wanyonge, acha wapiganie kwasababu wanyonge hutumiwa kama daraja la kuwanufaisha watu.

Nchi za kiafrika ni za kijinga sana. Wameona kipind cha uchaguzi, ndiyo wanatoa viajira uchwara. Kama walishindwa kuajiri tangu 2015. Wala siamini hizo ajira zao mpaka kesho kutwa.

Wewe bila shaka tayari una ajira
 
Unafanya nini baada ya kukimbia huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…