Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Wakuu hizi ajira za walimu mwenye utabiri lin wataajiri baada ya dirisha kufungwa?? Kabla au baada ya uchaguz??
Mm nafikiria baada ya usajili kuisha tar 30/9/2020. Watafanya shortlist yao ndani ya mwezi Mmoja(October) then wapitie wajiridhishe tena na shortlist yao..watoe majina November mwishoni then watu wariport December...! Mtazamo wangu..tu

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Mm nafikiria baada ya usajili kuisha tar 30/9/2020. Watafanya shortlist yao ndani ya mwezi Mmoja(October) then wapitie wajiridhishe tena na shortlist yao..watoe majina November mwishoni then watu wariport December...! Mtazamo wangu..tu

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Ok.sawa nafikir watalipot January bila shaka
 
It's a must kufanya hivo ajira za utumishi lazima u certify vyeti, hafu ili usiteseke ku scan maanna kitaa Ni ghali download application ya clearscanner kwenye simu yako, uwe una scan, Ila Mimi kukushauri as tahadhari vyeti toa copy viwe na mhuri wa mwanasheria ndio u scan, usisahau na Cha kuzaliwa
Nlikua naifatilia hili na nimepata yafuatayo:
Kucertify kwa kupiga muhuri wa mwanasheria/mahakama ni kuthibitsha kuwa the document ni nakala itokanayo na cheti halisi, na hoi hufanyika endapo tu utaamua kutumia kopi, lakini kama unatumia cheti original (km ifanyikavyo sasa) kwa kuviscan, hapa haihitaji certification.
 
Nlikua naifatilia hili na nimepata yafuatayo:
Kucertify kwa kupiga muhuri wa mwanasheria/mahakama ni kuthibitsha kuwa the document ni nakala itokanayo na cheti halisi, na hoi hufanyika endapo tu utaamua kutumia kopi, lakini kama unatumia cheti original (km ifanyikavyo sasa) kwa kuviscan, hapa haihitaji certification.
Acheni kufanya maisha yawe magumu jameni...!

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Kama ukichaguliwa c utaenda na documents zako waziprove kama ni za kwako au sio za kwako?

Mwanasheria mwenyewe anataka 20, kukugongea mhuri wakati huo mm niko mtaani sina hata hiyo twenty...we we unafikiri itawezekana kweli?

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Kama ukichaguliwa c utaenda na documents zako waziprove kama ni za kwako au sio za kwako?

Mwanasheria mwenyewe anataka 20, kukugongea mhuri wakati huo mm niko mtaani sina hata hiyo twenty...we we unafikiri itawezekana kweli?

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
I know, then me cjarecommend hilo... Nlichorecomend ni kuwa tuscan vyeti Original... Ikitokea unataka utumie copy ndo certification muhim
 
Nlikua naifatilia hili na nimepata yafuatayo:
Kucertify kwa kupiga muhuri wa mwanasheria/mahakama ni kuthibitsha kuwa the document ni nakala itokanayo na cheti halisi, na hoi hufanyika endapo tu utaamua kutumia kopi, lakini kama unatumia cheti original (km ifanyikavyo sasa) kwa kuviscan, hapa haihitaji certification.
Mwanasheria ana nyenzo gani za kuthibitisha uhalali wa cheti?
Hizi blah blah za kuibia watu hela tu.
Necta na Nacte na vyuo ndio vinaweza kuthibitisha uhalali wa vyeti vyao maana wana data base na details zote kuhusu vyeti walivyotoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nlikua naifatilia hili na nimepata yafuatayo:
Kucertify kwa kupiga muhuri wa mwanasheria/mahakama ni kuthibitsha kuwa the document ni nakala itokanayo na cheti halisi, na hoi hufanyika endapo tu utaamua kutumia kopi, lakini kama unatumia cheti original (km ifanyikavyo sasa) kwa kuviscan, hapa haihitaji certification.
Huo najua huwa lazima ku scan but it depends kwa hzo nafasi
 
Back
Top Bottom