mustapha hashimu
Senior Member
- Jan 25, 2017
- 145
- 30
Wakuu naomben msaada kwenye teaching subject naweza kuchanganya fani na physics?? Mm nimesoma diploma ya electrical engineering sasa kwenye teaching subject naweza chagua physics na electrical installation?? Maoni yenu wadau ili kutanua wigo wa selection??
Kwani wanatumia vigezo gani kupangia mtu ajira?
Tafuta kadi ya chama, muone katibu wa chama wa mkoa mambo yatakuwa super
Tafuta kadi ya chama, muone katibu wa chama wa mkoa mambo yatakuwa super
Sawa nitafanya hvyo mkuuMIMI NAONA SAWA TU
I bet, watafanya uchambuzi kwa wiki 3, I mean tar 1 hadi kwenye 20's huko October watatoa list, then wiki ya kwanza ya November, watu wataripoti vituoniWazee leo ndio deadline ya maombi ,
Wazee wa utabiri lini post za ajira maana kitaa ni moumer
Sawa kiongoz wangu itakuwa murua kabsa hiiI bet, watafanya uchambuzi kwa wiki 3, I mean tar 1 hadi kwenye 20's huko October watatoa list, then wiki ya kwanza ya November, watu wataripoti vituoni
😂😂😂😂 Nimebet mzee babaSawa kiongoz wangu itakuwa murua kabsa hii
Ushakuwa tambi tambi naamin majibu ya vituo vya kazi vitatoka kabla ya tarehe 28[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimebet mzee baba
Ha ha ha ha... Unafata nyayo zangu za utabirUshakuwa tambi tambi naamin majibu ya vituo vya kazi vitatoka kabla ya tarehe 28
Nikwel tupu hyo mkuu wanguHa ha ha ha... Unafata nyayo zangu za utabir
Hatutoamini pale unapoona hadi November no any listNikwel tupu hyo mkuu wangu
Kwel Mungu ajalieTarehe 1 October sasa Mungu tusaidie.
Kwenye account yao inaoneshaje kwa sasa kwenye status?? Closed auKwel Mungu ajalie