Nadhani wamemsikia jiwe kuhusu elimu miaka mitano ijayo😂Magu nyoosha hizi pimbi zote
Zilikuwa zinaimba wacha waisome namba
Kasemaje kwani RaisNadhani wamemsikia jiwe kuhusu elimu miaka mitano ijayo😂
Kaogea mengi lakini kwenye elimu kaongea kile kinapatikana baada ya kukoboa nafaka!Kasemaje kwan Rais
Ajira zitatoka elfu nane na sio elfu 13.Kaogea mengi lakini kwenye elimu kaongea kile kinapatikana baada ya kukoboa nafaka!
Kwa nn Tena hivo mkuuAjira zitatoka elfu nane na sio elfu 13
Tusubiri wizara ipate waziri ndipo tuone Nini kitatokea
Sent from my TECNO B1p usin
Tusubiri wizara ipate waziri ndipo tuone Nini kitatokea
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Okay tumsubiri katibu mkuu afanye maamuziKwani barua yako ya kuomba ajira uli address kwa waziri au Ofisi ya katibu mkuu?
Mbona waziri wa utumishi Mh mkuchika hayupo ila shughuli za uwajiri zinaendelea kama kawaida?
Unaniaibisha mwalimu unashidwa dadavua vitu vidogo kama hivi!
Muda wowote kuanzia sasa Mchakato ukiwa tayari mtaitwa tu, ila kuripoti ktk vituo vya kazi ni mwakani 2021.
Ajira million nane ujazisikia mkuu? 😃😃😃. Halafu milion sita zilishatengenezwa 2015-2020😜😜😜 kwahiyo hakuna kijana ambae hana ajira.Yaani magufuli aache kujenga uwanja Dodoma
Barabara
Madaraja
Treni ya umeme kumalizika
Ndege
Et atoe ajira,
Magu nyoosha hizi pimbi zotee, kazi kuvaa vilemba vya ccm, kuimba wacha waisome namba
Someni hizo namba sasa
Kufika 2025 kuna watu system itawatema, hawatakuwa wanaajirika tena,
Ndio akili itakukaaa sawa nakuijua ccm vizur, huku degree yako iko kabatin, unapakia mchanga
Hahahahahahahah!umenichekesha mpka nataka kufa ukuYaani magufuli aache kujenga uwanja Dodoma
Barabara
Madaraja
Treni ya umeme kumalizika
Ndege
Et atoe ajira,
Magu nyoosha hizi pimbi zotee, kazi kuvaa vilemba vya ccm, kuimba wacha waisome namba
Someni hizo namba sasa
Kufika 2025 kuna watu system itawatema, hawatakuwa wanaajirika tena,
Ndio akili itakukaaa sawa nakuijua ccm vizur, huku degree yako iko kabatin, unapakia mchanga
Alishawaona nyie hamnazo tuAjira million nane ujazisikia mkuu? [emoji2][emoji2][emoji2]. Halafu milion sita zilishatengenezwa 2015-2020[emoji12][emoji12][emoji12] kwahiyo hakuna kijana ambae hana ajira.
Mengine ni kuchafua serikali yetu tukufu[emoji2960][emoji2960]
Mimi naona wewe ndio hujitambui.Alishawaona nyie hamnazo tu
Anawadanganya Kama watoto
Walimu ni gongo wazi aisee, hawajui hata kuchambua mambo
Kwa akili yako ya kawaida, magufuli anaweza toa ajira za walimu?
Huyu magufuli kabisa???
Jiwe???
Atoe ajira????
Jj
Zinduka usingizini kijana [emoji23][emoji23][emoji23]
Una uhakika Gani na taarifa zakoo?walimu mjiandae soon majina ya kupangiwa vituo vya kazi yatatolewa
kuripoti mpaka januaary
Wewe tunaita hater na mtu ambaye hujitambui kabisaYaani magufuli aache kujenga uwanja Dodoma
Barabara
Madaraja
Treni ya umeme kumalizika
Ndege
Et atoe ajira,
Magu nyoosha hizi pimbi zotee, kazi kuvaa vilemba vya ccm, kuimba wacha waisome namba
Someni hizo namba sasa
Kufika 2025 kuna watu system itawatema, hawatakuwa wanaajirika tena,
Ndio akili itakukaaa sawa nakuijua ccm vizur, huku degree yako iko kabatin, unapakia mchanga