cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mkuu Mimi staki ualimuUsicheke tuma hiyo . Nipo siliasi na kuomba kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mimi staki ualimuUsicheke tuma hiyo . Nipo siliasi na kuomba kazi
Mkuu nimekupm naomba ucheki pm Yangulete nikujazie dada
Nenda mahakam ya mwanzo liongezeke .Utaratibu wa kisheria wa kuongeza jina la tatu kama vyeti vina majina mawili, uko vipi? Anaejua atujuze tafadhali.
Ikiwa una Kitambulisho cha taifa chenye majina matatu, je kuna haja ya kwenda mahakamani kuapa?Nenda mahakam ya mwanzo liongezeke .
Kumbuka kua na kielfu kumi karibu.
Usifurahie tu kuwa wametoa.Mlisema hawatatoa, sasa wametoa mmekuja na lingine.
Kwasabab tyr kweny chet ni tofauti hivy lazima hati ya kiapo kisheria hata kama una haki.Ikiwa una Kitambulisho cha taifa chenye majina matatu, je kuna haja ya kwenda mahakamani kuapa?
Mkuu umefanikiwa kuapply?.Nenda mahakam ya mwanzo liongezeke .
Kumbuka kua na kielfu kumi karibu.
Ili iwejeTuwafikishie ujumbe chadema kwamba ccm ime tangaza ajira hewa.
Mimi siyo Mwalimu Mkuu ila taratibu nazielewaMkuu umefanikiwa kuapply?.
Ok, mimi nimuhandisi lkn niko kwa wahindi, nilitaka hii kazi niombe naomba unipe tips mbili tatu.Mimi siyo Mwalimu Mkuu ila taratibu nazielewa
Omba kazi uingie kwenye system, baada ya hapo ndy utajua nin uamue...mshahara ndy vile lakini watu ndy hivyo wanataman hata wapate hiyo chance, we mwenyew shahidi jinsi watu wanavyofurika kuomba hii kazi.Ok, mimi nimuhandisi lkn niko kwa wahindi, nilitaka hii kazi niombe naomba unipe tips mbili tatu.
Niliingia kwenye system yakawa yanakuja mapulizo, baadae nikafanikiwa kuingia lakini pale ili nijisajil, sehem yakuandika jina ukiandika jina system inagoma.Omba kazi uingie kwenye system, baada ya hapo ndy utajua nin uamue...mshahara ndy vile lakini watu ndy hivyo wanataman hata wapate hiyo chance, we mwenyew shahidi jinsi watu wanavyofurika kuomba hii kazi.
Ila tukumbuke hili, kwenye maisha kila mtu anapita njia yake ili afanikiwe.