Dirisha la Maombi ya Samia Scholarship lafunguliwa

Sasa GPA ya 3.8 ina msaada gani kwa taifa?,badala wangepimwa kwa gunduzi wanapimwa kwa GPA?,yaani wanasayansi wanapimwa kwa GPA sasa hapo watakuwa na utofauti gani na wale ambao hawakupata scholarship?!...
 
Haya ndiyo tunaita kutwanga maji kwenye kinu. Elimu ya Tanzania inatakiwa kufumuliwa na kusukwa upya na siyo kuendelea kuzalisha wasomi uchwara kwa ajili ya kujipatia umaarufu wa kijinga. Tuna matatizo makubwa zaidi ya hivi vi-scolarship ambavyo havifiki hata elfu moja. Ni mjinga tu atakayeshangilia ujinga kama huu.
 
''Kufauru'' ni nini wewe nanga? Tanzania imejaa vilaza kama wewe ambao kazi yao kuimbishwa mapambio ya kijinga huku nchi ikizidi kudidimia.
Sasa ukilaza wangu uko wapi boss. Kutukana tu bila kuwafundisha wanaokosea haitoshi. Kaa chini andika hoja nzito za kuwafundisha unaohisi ni vilaza sambaza mitandaoni ili waelimike na ukilaza uwaondoke.
 
Mimi kwa uelewa wangu hili la scholarship ni zuri sana. Linakwenda kuwaamusha watanzania katika masomo ya sayansi.
 
Ninacho jua ni kuwa selection kwa ajili ya 2022/2023 Mama Samia Scholarship program tayari imeisha fanyika, majina tayari yapo, na kinacho ngojrwa ni kukamilisha paper works ndogo ndogo tuu, sasa mleta uzi sijakuelewa unaposema dirisha litafuliwa sijui tarehe 28
 
Hayo uliyoyaona ni majina ya walio qualify kuipata hiyo scholarship. Mchakato unaofuata ni kuapply kwenye mfumo.
 
GPA ya 3.8 ni kigezo kizuri sana na nirahis kukitimiza kwa mwanafunzi ambae yuko serious masomo! Good starting, hope next year the number is going to be high!
 
Ni jambo la kwanza la maana alilofanya tangu aingie madarakani.
 
Mimi mwanangu siwezi kukubali asome kupitia hiyo scholarship, labda wabadili jina .Hilo jina halijakaa sawa ukizingatia ni pesa za umma
 
Sasa ukilaza wangu uko wapi boss. Kutukana tu bila kuwafundisha wanaokosea haitoshi. Kaa chini andika hoja nzito za kuwafundisha unaohisi ni vilaza sambaza mitandaoni ili waelimike na ukilaza uwaondoke.
Kama ulikaa darasani mpaka ukahitimu iwe darasa la saba, sekondari au chuo, na hujui kuandika maneno rahisi kabisa ya kiswahili, mimi nitasaidia nini? Rudi usome tena utaona kosa lako.
 
Kama ulikaa darasani mpaka ukahitimu iwe darasa la saba, sekondari au chuo, na hujui kuandika maneno rahisi kabisa ya kiswahili, mimi nitasaidia nini? Rudi usome tena utaona kosa lako.
Pamoja na yote hayo, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Tuseme tu ukweli Mama anaupiga mwingi sana.
 
Kwa hiyo Samia Scholarship unafanyaje application maana kuna sehem ya kujaza registration number na bado hatujafika chuo kuanza registration
 
Wadau Hivi hakuna mtu anayefahamu vyuo/mahala wanapotoa scholarships za masters iwe ndani au nje ya nchi kwa upande wa accounting, economics or finance related degrees?
 
Bora tu uombe zako mkopo wa HESLB usome kwa kurelax,ukipiga first class ni poa tu.
Unaweza omba hio hela ya Samia,bahati mbaya ukapiga 3.5,jamaa wakaanza kukuambia eti,huruhusiwi kuomba tena
Ujinga wa kwanza huu
 
Good initiative.Cha muhimu sustainability iwepo....Kisha pia ifanyike nje ya mchakato ikianzi.mwanafunzi akiwa shuleni.Nilipitia mchakato wa scholarship za harvar na mit.Hata usipofaulu ila zinakupa challenge ya maana.NECTA bado ni mtihani wa kiwango cha chini kupima.upeo wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…