PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Umekula +1000 we dogo muhuni sanaUnamanisha sijala hata mmoja au nimekula zaidi ya 4 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekula +1000 we dogo muhuni sanaUnamanisha sijala hata mmoja au nimekula zaidi ya 4 😀
ukitaka kumridhisha mwanamke akuone mwema hauchepuki ndio atakuchoka atakuacha....ajue una uwezo wa kuchepuka ajue unachepuka ila akose ushahidi......ukikaa kizembe imekula kwao....wewe hao t kuna mtu ana 700+ ....ukitaka kulia lia we poa uone. unadhani wanawake wanapenda good guy.....good looking man....kudaadeki.....Wana MMU poleni sana kwa majukumu ya juma zima, weekend bado changa ndio kwanza inaanza.
Leo nina confession moja ambayo sio nzuri.
First lemme declare hiki nilichokiandika sio sifa, bali ni majuto na mpaka sasa najiuliza how did it happen? Mimi ni muumini mzuri sana toka utotoni lakini kwenye uchakataji uumini umegoma kabisa kuapply.
Toka nianze uchakataji mwaka 2012 mpaka sasa 2019 nimechakata zaidi ya papuchi 20+.
List ni hii hapa:
1. Aika
2. Ashura
3. Beti
4. Sesi
5. Chriss
6. Carren
7. Feli
8. Vero
9. Tausi
10. Frida
11. Pili
12. Debora
13. Mama Bry
14. Mama Jay
15. Ester
16. Scola
17. Helen
18. Lightness
19. Latifa
20. Mpwapwa girl(simkumbuki jina)
21. e.t.c
Nimejaribu kupambana sana kuacha hii tabia ya kuonja matunda mapya kila siku lakini wapi nimeshindwa. Hapa nilipo nina list ya wanawake 3 wapya ambao wapo line tayari, achana na wale ambao tayari tushachakatana ambao nao wengi wao wanasumbua daily.
Kwa kupitia uzi huu, naweka naweka agano sitaleta mazoea na kiumbe mpya wa kike yeyote nabaki na mtarajiwa wangu tuu. Sitasahau siku mtarajiwa wangu huyu alipofuma lundo la meseji za mahaba za wanawake kadha wa kadha, alilia sana mbele yangu lakini kwa uwezo wa mwenyezi Mungu aknisamehe na maisha yameendelea kama kawaida.
Naomba Mwenyezi Uliye Muweza wa Yote nisaidie niweze kupambana na hili janga nililonalo, Ameen.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Vipi kwa upande wako umeshachakata/kuchakatwa na wangapi?