Asante Skills4Ever.. ni muhimu sana kujipanga na haya mambo kuhusu watoto wetu. kwa kuanzia inabidi uchukue application forms katika shule zote na hapo unapata info. kadhaa kuhusu ada, ratiba ya msimu wa masomo, usafiri nk..
Mkuu Njiwa..nashukuru kwa maoni yako, nilipita pale kuangalia mandhari pia kuonana na mkuu wa dept. ya primary