BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Habari wapendwa,
Naomba wazazi mnisaidie kuniambia kati ya Dar-es-saalam Independent School (DIS) na Academic International School, ipi ni shule nzuri kitaaluma na mambo mengine muhimu kuzingatia katika kumjenga mtoto pia reputation ya shule? Shule zote zipo maeneo ya mikocheni. Nadhani hawatumii curiculuum ya Tanzania. (correct me kama nimekosea)
Nipo njia panda kwa mtoto kujiunga kati ya hizo mbili kwa darasa la 1..Naelewa pia ukiacha yote nafasi ya mzazi kumlea mtoto kimaadili mema na kufuatilia maendeleo yake ya shule iko pale pale.
Asanteni!!
Naomba wazazi mnisaidie kuniambia kati ya Dar-es-saalam Independent School (DIS) na Academic International School, ipi ni shule nzuri kitaaluma na mambo mengine muhimu kuzingatia katika kumjenga mtoto pia reputation ya shule? Shule zote zipo maeneo ya mikocheni. Nadhani hawatumii curiculuum ya Tanzania. (correct me kama nimekosea)
Nipo njia panda kwa mtoto kujiunga kati ya hizo mbili kwa darasa la 1..Naelewa pia ukiacha yote nafasi ya mzazi kumlea mtoto kimaadili mema na kufuatilia maendeleo yake ya shule iko pale pale.
Asanteni!!