Ungtkua unamiliki gari kama hilo usingeleta uzi huo, tulishawahi kumiliki hizo gari tunakua wa pole sanaa kwasbabu mziki wake tunaijua, wewe unaangalia appearance yake nje hujui hiyo gari ni mhemuko tu wa vijana na dream zao za kila siku bila kujua uzito nyuma yake.Sisi hizo ndio gari zetu na tunaenjoy maisha wewe kama ulinunua mkweche shauri yako !