Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Una gari ngapi we kamanda? BMW? Land rover discovery 3?Unyama sana h
Sio kweli mbona mimi haijawahi kunitokea?
Umeeleweka. Uzi ufungwe hakuna comment zaidi.Watu huwa mnanunua gari zimeshakuwa mbovu toka kwa mmiliki asieliweza gari husika. Kundi la pili ni lile linanunua gari nje ya uwezo kulitunza, kuli "maintain" na kundi la tatu ni lile linanunuaga magari bila kujua linataka nini kwenye gari husika! Kuna uwezo wa kununua gari flani na uwezo wa kulitunza gari flani, wabongo wengi wanadesa hapa.
Disc 3 and upgrade Disc 4 ni gari kama unakipato cha kubabaisha lazima uliharibu na kuliua. Wenye kuelewa magari wameshanielewa.
Usipate tabu mkuu hana hata moja au wewe ni mgeni wa JF?Una gari ngapi we kamanda? BMW? Land rover discovery 3?
OohkUsipate tabu mkuu hana hata moja au wewe ni mgeni wa JF?
unaweza usiweke oil ukatia kohozi mzigo ukapiga mwendo.Ina tembea hata na tairi tatu hiyo 🔥