Disemba 19 kama leo mwaka fulani, Hayati Magufuli alilipa mishahara kwa watumishi wa umma

Disemba 19 kama leo mwaka fulani, Hayati Magufuli alilipa mishahara kwa watumishi wa umma

Nyuzi za mishahara zimekuwa nyingi leo 😹
Wakuu tulieni mishahara mtaingiziwa tarehe maalumu..!!

Madeni yatawanyonga na bado watoto wanataka nguo za sikukuu 😹😹😹
Mkuu mbona unatusimanga?
 
Nyuzi za mishahara zimekuwa nyingi leo 😹
Wakuu tulieni mishahara mtaingiziwa tarehe maalumu..!!

Madeni yatawanyonga na bado watoto wanataka nguo za sikukuu 😹😹😹
na bado njanuari ada unifomu zinakuhitaji ww
 
Back
Top Bottom