Mkuu mbona unatusimanga?Nyuzi za mishahara zimekuwa nyingi leo ๐น
Wakuu tulieni mishahara mtaingiziwa tarehe maalumu..!!
Madeni yatawanyonga na bado watoto wanataka nguo za sikukuu ๐น๐น๐น
๐น๐น๐นMkuu mbona unatusimanga?
Tunazikabidhi bar mkuu.๐น๐น๐น
Nasikia raha mnavyolalamika..!!
Kwann hamtunzi pesa mpk mnalilia pesa za sikukuu km watoto??
Waambieni ma-manager wawape mikojo yenu ya pombe mnywe mpoze hasira. ๐น๐นTunazikabidhi bar mkuu.
Mkuu usitufokee hizi bia zitatukaba tufe ujue๐คWaambieni ma-manager wawape mikojo yenu ya pombe mnywe mpoze hasira. ๐น๐น
Yeah, kulipa kwa utaratibu maalum uliowekwa bila kufuata sifa za kijinga za mtu flani ni haki ya mlipaji pia.Vipato nje ya mshahara tunavyo vingi sana lakini mishahara ni haki yetu.
Nina njaa ndio maana nataka iungwe.Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
midomo yetu inatuponzaTartiiibu mtakiri......bila kushurutishwa
na bado njanuari ada unifomu zinakuhitaji wwNyuzi za mishahara zimekuwa nyingi leo ๐น
Wakuu tulieni mishahara mtaingiziwa tarehe maalumu..!!
Madeni yatawanyonga na bado watoto wanataka nguo za sikukuu ๐น๐น๐น
Watakoma, na vyakula vyote vinaishaga njanuary ๐น๐น๐นna bado njanuari ada unifomu zinakuhitaji ww
Kodi ya nyumbaWatakoma, na vyakula vyote vinaishaga njanuary ๐น๐น๐น
Km wamepanga wajiandae na gubu la mwenye nyumba.!!