humphrey_on_th_forum
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 278
- 233
Hi Jamii Forums members,
Ndugu zangu mwezi December ndio huooo ushafika, huu ni muda mzuri kwetu sote kujitathmini ni yepi ambayo bado hatujayakamilisha mpaka sasa ikiwa ni malengo tuliojiwekea kwa mwaka huu unaofika tamati sasa.
Ikiwa hukufikia malengo uliojiwekea ni muda kuweka sawa mipango yako ili usifanye tena kosa kwa mwaka 2017.
Huu ni muda pia wa kusameheana kwa pale tulipotofautiana.
Ndugu zangu mwezi December ndio huooo ushafika, huu ni muda mzuri kwetu sote kujitathmini ni yepi ambayo bado hatujayakamilisha mpaka sasa ikiwa ni malengo tuliojiwekea kwa mwaka huu unaofika tamati sasa.
Ikiwa hukufikia malengo uliojiwekea ni muda kuweka sawa mipango yako ili usifanye tena kosa kwa mwaka 2017.
Huu ni muda pia wa kusameheana kwa pale tulipotofautiana.