Bellami
Member
- Aug 8, 2014
- 53
- 17
Nakumbuka siku moja nilikosa nguo ya kuvaa kwa harusi na nilialikwa kitambo na mchango nilitoa,
siku yenyewe ya harusi ndio nikakumbuka kua kuna shughuli na muda haukua rafiki...basi nikajivalia dishdasha langu hili hapa na nilikua nikiulizwa na kila mtu umenunua wapi ???? Usiwe miongoni mwa hao waulizao jipatie la kwako kwa elf 45 tu, wa Dar delivery ipo mikoani kote natuma... karibuni sana 0752976792