Dismas Ten amtukana shabiki wa Simba SC

Dismas Ten amtukana shabiki wa Simba SC

MySoka

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
209
Reaction score
297
Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten ameamua kuweka makucha hadharani baada ya kumtukana LIVE shabiki wa Simba kisa kuambiwa hana akili.

Ten aliweka ujumbe katika ukurasa wa Instagram kwa kusema kuwa "wakati mwingine tunakuzingua ili upate hasira ufanye vizuri, hongereni" na mdau huyo akakomenti kwa kumweleza Ten hana akili.

Baada ya Ten kuona komenti hiyo, hakusita kumjibu palepale kwa kumchana LIVE na akimuuliza shabiki huyo kuwa angekuwa hana akili mama yake angekuwa anakuja kuchukua hela kwake?

Ujumbe huo uliambatana na namba ya simu ya Ten ambayo aliitoa na kumweleza shabiki huyo kuwa akaiangalie kwa mama yake kuwa ameisave kwa jina lipi.

1547374301220.jpeg
 
Amemjibu kistaarabu sana. Hilo linaweza kuwa tusi ikiwa tu jamaa ataichukua hiyo namba ya simu na kwenda kuhakiki kwa mamaake kama alivyo shauriwa na kukuta tofauti na maelekezo ya mtoa kauli.
Tujifunze kuwa na lugha za staha...
 
Amemjibu kistaarabu sana. Hilo linaweza kuwa tusi ikiwa tu jamaa ataichukua hiyo namba ya simu na kwenda kuhakiki kwa mamaake kama alivyo shauriwa na kukuta tofauti na maelekezo ya mtoa kauli.
Tujifunze kuwa na lugha za staha...

Jamaa nadhani atajifunza kuacha kutukana ovyo. Maana kapewa jibu la kiakili sana.
 
Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten ameamua kuweka makucha hadharani baada ya kumtukana LIVE shabiki wa Simba kisa kuambiwa hana akili.

Ten aliweka ujumbe katika ukurasa wa Instagram kwa kusema kuwa "wakati mwingine tunakuzingua ili upate hasira ufanye vizuri, hongereni" na mdau huyo akakomenti kwa kumweleza Ten hana akili.

Baada ya Ten kuona komenti hiyo, hakusita kumjibu palepale kwa kumchana LIVE na akimuuliza shabiki huyo kuwa angekuwa hana akili mama yake angekuwa anakuja kuchukua hela kwake?

Ujumbe huo uliambatana na namba ya simu ya Ten ambayo aliitoa na kumweleza shabiki huyo kuwa akaiangalie kwa mama yake kuwa ameisave kwa jina lipi.

View attachment 993228
Hayo ndiyo majibu muafaka kwa mtu punguani.
 
Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten ameamua kuweka makucha hadharani baada ya kumtukana LIVE shabiki wa Simba kisa kuambiwa hana akili.

Ten aliweka ujumbe katika ukurasa wa Instagram kwa kusema kuwa "wakati mwingine tunakuzingua ili upate hasira ufanye vizuri, hongereni" na mdau huyo akakomenti kwa kumweleza Ten hana akili.

Baada ya Ten kuona komenti hiyo, hakusita kumjibu palepale kwa kumchana LIVE na akimuuliza shabiki huyo kuwa angekuwa hana akili mama yake angekuwa anakuja kuchukua hela kwake?

Ujumbe huo uliambatana na namba ya simu ya Ten ambayo aliitoa na kumweleza shabiki huyo kuwa akaiangalie kwa mama yake kuwa ameisave kwa jina lipi.

View attachment 993228

Kwa hiyo Ten ndiye aliyetukana na huyo shabiki wa Simba hajatukana??? Au wametukananana??
 
Jibu sahihi, kwa wakati sahihi, kwa mtu sahihi, kwa dhumuni sahihi. Huyo shabiki ni "limbukeni" hajitambui.
 
Mwandishi umejuaje kama huyo ni shabiki wa Simba?
Inawezekana alieanza kutukana, akawa Yanga mahakama, wakati huyo ofisa habari ni Yanga uchaguzi.. Wote gongowazi[emoji3][emoji3]
 
Duh ngoja tusubiri mrejesho wa jamaa baada ya kucheki simu ya Bimkubwa wake. Nadhani atapost kule MMU.
 
Back
Top Bottom