Hivi kumbe siku hizi tunapangiana kupost? Bando lake, simu yake, account yake muache apost anachotaka ili mradi hajavunja sheria
Halafu hicho sidhani kama ni kigezo cha kumuita mtu mpumbavu, amepost kwa matakwa yake.. Sio kila kitu anachopost, mimi na wewe tumuamini au tumuunge mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππππππππππππππππππ KAMA NI PUMBA KAWAPE WALE KUKU MNAOFUGA PALE MTAA WA MSIMBAZI WAZILE, WA MATOPENI MNA SHIDA
Anawakumbusha kuwa msitutie aibu za HamsaNilkuwa naona thread nyingi sana zikumsifia msemaji wa Yanga kuwa anafanya kazi kwa weledi togauti na Manara.
Leo nimepita kwenye acc yake ya instagram nilivyokuta post zake nimeona naye ni mpumbavu tu.
Anapost post ambazo hazihusiani na team ya Yanga baadhi ni matokeo ya Simba aliyogungwa 5-0 vs Al Ahly, draw ya CAF Simba vs TP Mazembe na kikosi cha TP Mazembe kilivyokuwa mbeya
Hivi kumbe siku hizi tunapangiana kupost? Bando lake, simu yake, account yake muache apost anachotaka ili mradi hajavunja sheria
Halafu hicho sidhani kama ni kigezo cha kumuita mtu mpumbavu, amepost kwa matakwa yake.. Sio kila kitu anachopost, mimi na wewe tumuamini au tumuunge mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu akitoka hapo anatetema. Ana maudhi yule jamaa. Naisubiri Yanga kwa hamu sana Kagame CupKagereeeeee..... Anaingiza kichwa hapa kwa yanga... Huwa inaniuma sana nikisikia hili goli.
POLE MKUUKagereeeeee..... Anaingiza kichwa hapa kwa yanga... Huwa inaniuma sana nikisikia hili goli.
Unaumizwa na kichwa au na goli?Kagereeeeee..... Anaingiza kichwa hapa kwa yanga... Huwa inaniuma sana nikisikia hili goli.
Wewe ndo mpumbavu maana unampangia cha kupost wakati accoùnt nì yakeNilkuwa naona thread nyingi sana zikumsifia msemaji wa Yanga kuwa anafanya kazi kwa weledi togauti na Manara.
Leo nimepita kwenye acc yake ya instagram nilivyokuta post zake nimeona naye ni mpumbavu tu.
Anapost post ambazo hazihusiani na team ya Yanga baadhi ni matokeo ya Simba aliyogungwa 5-0 vs Al Ahly, draw ya CAF Simba vs TP Mazembe na kikosi cha TP Mazembe kilivyokuwa mbeya