Bado Waswahili wanakutana kwenye vikao chini ya mwembe kuijadili ya Mturuki.
Ujamaa uliwalemaza hawa.
Ila Kenya wanatia Aibu[emoji23][emoji23] watu wanawaza Bullet trains wao 2017 wanawaza moshi mwingi train[emoji23][emoji23]
This is Magufuli how changes Tanzania, mtaisoma namba kichinichiniHalafu rais Uhuru ameapishwa, mlitamani sana kuchafuke, subiri uone tukikamilisha hadi Rwanda.
Kwani hapajachafuka_?? Si juz tu mmetoka kupiga watu LIVE BULLETS..ndo maana hata hatujamleta Raisi wetu huko Jeshi lenu limelegea Sanaa[emoji23][emoji23][emoji23] Na bado Raila Kuapishwa 12/2012 plus Boycott[emoji23][emoji23] yani ikifika 2020 mnatembelea maskioHalafu rais Uhuru ameapishwa, mlitamani sana kuchafuke, subiri uone tukikamilisha hadi Rwanda.
I mean 12/2017[emoji23][emoji23]Kwani hapajachafuka_?? Si juz tu mmetoka kupiga watu LIVE BULLETS..ndo maana hata hatujamleta Raisi wetu huko Jeshi lenu limelegea Sanaa[emoji23][emoji23][emoji23] Na bado Raila Kuapishwa 12/2012 plus Boycott[emoji23][emoji23] yani ikifika 2020 mnatembelea maskio
Kwani hapajachafuka_?? Si juz tu mmetoka kupiga watu LIVE BULLETS..ndo maana hata hatujamleta Raisi wetu huko Jeshi lenu limelegea Sanaa[emoji23][emoji23][emoji23] Na bado Raila Kuapishwa 12/2012 plus Boycott[emoji23][emoji23] yani ikifika 2020 mnatembelea maskio
Acha uzembe Wa mawazo wewe.. Kenya ilichafuka Tangu enzi za Addam na Hawa... Mwaka gani sijui mliuana karibia 1000 na kitu.. Kwenye huu uchaguzi tu mmeuana karibia mamia.. Sasa unataka ichafuke namna gani.. Ikichafuka zaid ya Hapo ni Vita ya Ki jeshi sasa..Siku Kenya ikichafuka EAC yote haitakalika, ila sasa no mwendo was kuhakikisha sisi ndio vinara wa ukanda wote huu.
Acha uzembe Wa mawazo wewe.. Kenya ilichafuka Tangu enzi za Addam na Hawa... Mwaka gani sijui mliuana karibia 1000 na kitu.. Kwenye huu uchaguzi tu mmeuana karibia mamia.. Sasa unataka ichafuke namna gani.. Ikichafuka zaid ya Hapo ni Vita ya Ki jeshi sasa..
I'm not praying n I don't support any kind of terrorism in Kenya na Twawaombea muwe salama ila Jeshi lenu ni dhaif sanaa sanaaa yani.. Sijui hata kama kwenye peace Keeper program mpo.. Mnavifaa lkn techniques zero kabisaaa..
Ndugu yangu mk 254 hebu thibitisha ukinenachoSisi kama kinara wa EAC na Kati, siku kikiharibika hapa, mtaumia nyote.
[emoji22][emoji23][emoji23]unafkiria na tumbo wewe sio BURE.. Uchumi Wa Wazungu huo, haki wazunguu wakiwahama mtakua Mara mia 2 ya Libya ilivyo sasa..[emoji23][emoji23] Et kinara Wa EAC wakati most of your people are living in an extremely poverty.. Njaa tupu Mlo mmoja per day[emoji23][emoji23] mashamba yamebebwa na Rich kikuyus plus White settlers Daah..Sisi kama kinara wa EAC na Kati, siku kikiharibika hapa, mtaumia nyote.
[emoji22][emoji23][emoji23]unafkiria na tumbo wewe sio BURE.. Uchumi Wa Wazungu huo, haki wazunguu wakiwahama mtakua Mara mia 2 ya Libya ilivyo sasa..[emoji23][emoji23] Et kinara Wa EAC wakati most of your people are living in an extremely poverty.. Njaa tupu Mlo mmoja per day[emoji23][emoji23] mashamba yamebebwa na Rich kikuyus plus White settlers Daah..
Mlitakiwa by now muwe on the road MNA protest mrudishiwe Maeneo[emoji23][emoji23]
Unemployment rate inaongezeka kila kukicha
[HASHTAG]#Maendeleo[/HASHTAG] yanatakiwa ya Reflect na maisha halisi ya watu..
Nchi ishavunda iyo muda tu.. Inataka Huge Reform.. Na Kiongozi Wa kufanya reform hayupo.. Yani kitendo tu cha kujenga Reli ya 80's iko clear hamna leadership apo ni ubabaishaji.. Why build the same rail twice[emoji23][emoji23] hiyo haina Tofaut ya kwanza .. Magufuli akimaliza muda wake huku tutawauzia aje kuwachapa maana nyie bila kuchapwa akili hazitafunguka...Shukuru nchi yetu haikuharibika, ipo siku utajua kwanini ushukuru.
And probably the Chato airport projectA white elephant is a possession which its owner cannot dispose of and whose cost, particularly that of maintenance, is out of proportion to its usefulness. In modern usage, it is an object, building project, scheme, business venture, facility, etc.,
Bagamoyo is a possession, building project, scheme, business venture and a facility not someplace or something that exists in Utopia and very expensive to initiate it, run it and more so maintain it.
Ile ni Airport ya Dharura[emoji23] In fact watai treat kama military baseAnd probably the Chato airport project
You support terrorism directed towards Kenyans otherwise what are you doing in the Kenyan section of JF talking ill of them Kenyans? You are the few Tanzanians who think that "if' Kenya goes into war or attacked heavily by terrorists, your Tanzania will be able to surpass Kenya Economically.Acha uzembe Wa mawazo wewe.. Kenya ilichafuka Tangu enzi za Addam na Hawa... Mwaka gani sijui mliuana karibia 1000 na kitu.. Kwenye huu uchaguzi tu mmeuana karibia mamia.. Sasa unataka ichafuke namna gani.. Ikichafuka zaid ya Hapo ni Vita ya Ki jeshi sasa..
I'm not praying n I don't support any kind of terrorism in Kenya na Twawaombea muwe salama ila Jeshi lenu ni dhaif sanaa sanaaa yani.. Sijui hata kama kwenye peace Keeper program mpo.. Mnavifaa lkn techniques zero kabisaaa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] WORLD HEAVIEST CHAMPION POVUUUUU.[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]You support terrorism directed towards Kenyans otherwise what are you doing in the Kenyan section of JF talking ill of them Kenyans? You are the few Tanzanians who think that "if' Kenya goes into war or attacked heavily by terrorists, your Tanzania will be able to surpass Kenya Economically.
You are the type of Tanzanians that spend most of their time in JF kenyan section hurling abuses and claiming Tanzania is better than Kenya without providing Concrete evidence. You are among the few most ignorant people in the world I would liken to KKK, Redheads and the NAZI, you got lots of hate towards Kenyans a bitter fact...you love to hate Kenyans whose only mistake is to be in a better country economically. Your hate and bile wount change who we are or what you not. Don't hate the player hate the game bro. Some will say we cook data, some will call us "nyang'aus", some will say our SGR is old and fake but why would you complain if your neighbor marries an ugly old wife? maybe you envy your neighbour and wish you were in his position and that will lead you to even wish catastrophe on him so as to have your neighbor's.
Wakenya Tuliopo hapa tunajua wengi wa watanzania hapa Kenyan section of JF ni wenye chuki na wivu kwa maendeleo ya wakenya...Mara ngapi wameshangilia terrorist attacks on Kenyan people while other nationalities sympathise with us?
Mara ngapi maendeleo ya Tanzania yanaletwa na watanzania Kenyan section for a dick measuring contest?
Mara ngapi Kenyan projects zinabezwa na watanzania wachache hapa Kenyan section JF?
Don't sugarcoat your hate on us sema kwa uwazi "Nawachukia Wakenya and anything Kenyan and ningetaka wapigwe mabomu na al shabaab na pia waingie kwenye civil war ili Tanzania tuipiku Kenya kiuchumi"
Mara ngapi Watanzania wanashabikia misukosuko ya Kenya airways?
Mara ngapi mnashangilia mkisikia WB na IMF zikipatia Kenya Onyo juu ya mikopo?
Tunajua hamptupendi na mmejawa na wivu lakini nasi hatubanduki kuhakikisha kuwa Kenya yetu Tukufu inazidi kupaa kwa manufaa yetu na vizazi vijavyo for we don't do our thing to compare with others and you will never see us on Tanzania news and politics section hurting and complaining for we are a mature people.
Ni hayo tu kwa sasa, you can go ahead from where you we left you.