Dear all,
Experienced experts in proposal writting, dissertation editing and general help available for you at a very affordable cost. In case you are in need for such help you simply give us a call at, 0767670307.
Make your project look smart and get your degree right away
Kiongozi ni kweli asilimia mia! Vile vile nimesikia kuna program moja ambayo inatambua kama hizo dissertations/thesis ni genuine au fake!Nyie ndio mnaoua Elimu ya Tanzania. Waacheni wanafunzi wafanye wenyewe. Kwani huko makazini nani atawasaidia?
Najua mnatafuta pesa lakini mnaua kizazi cha wa Tanzania.
dear all,
experienced experts in proposal writting, dissertation editing and general help available for you at a very affordable cost. In case you are in need for such help you simply give us a call at, 0767670307.
Make your project look smart and get your degree right away
Dear all,
Experienced experts in proposal writting, dissertation editing and general help available for you at a very affordable cost. In case you are in need for such help you simply give us a call at, 0767670307.
Make your project look smart and get your degree right away
Jamani, kwani kawalazimisha? Yeye kasema anachoweza kufanya kusaidia na kama hutaki basi acha kupeleka kazi zako. Maana kama kweli wewe umesoma ungejua 'editing' na 'proof reading' sio kudumaza elimu. Hiyo ni taaluma ya watu wachache na sio kila mwanafunzi wa Masters or PhD ni editor au ana ujuzi wa ku-proof read. Hata ma-professor wanapeleka kazi zao kuwa edited na wataalam. Sasa ubaya hapo ni nini? Mbona kuna watu wanaandika humu mambo ya kipuuzi zaidi na hamlalamiki? Tulizaneni akili.hii ni rubish!!!!. hata anayeweka hili tangazo uwezo wako utakuwa ni wa kubabaisha tu , kama si mwizi wa wazi kuibia vijana wasiojiweza au wavivu kielimu basi hujui unatenda nini. nachukua hii namba ninakupigia, na nitakutana nawe. ila jiandae, nakupa miezi miwili utafute kazi nyingine, la sivyo, utaishia kupata vijana wa sekondari
Mkuu unachosema ni kweli lakini hao wahusika wa pande zote mbili watazingatia hayo? Isije ikawa ni kuanza kuandikiwa kila kitu na hapo ndipo wasiwasi ulipo, hiki ni kitu muhimu sana katika taaluma kikichakachuliwa basi ujue ni janga la kitaifa.Jamani, kwani kawalazimisha? Yeye kasema anachoweza kufanya kusaidia na kama hutaki basi acha kupeleka kazi zako. Maana kama kweli wewe umesoma ungejua 'editing' na 'proof reading' sio kudumaza elimu. Hiyo ni taaluma ya watu wachache na sio kila mwanafunzi wa Masters or PhD ni editor au ana ujuzi wa ku-proof read. Hata ma-professor wanapeleka kazi zao kuwa edited na wataalam. Sasa ubaya hapo ni nini? Mbona kuna watu wanaandika humu mambo ya kipuuzi zaidi na hamlalamiki? Tulizaneni akili.
Dear all,
Experienced experts in proposal writting, dissertation editing and general help available for you at a very affordable cost. In case you are in need for such help you simply give us a call at, 0767670307.
Make your project look smart and get your degree right away
Jamani, kwani kawalazimisha? Yeye kasema anachoweza kufanya kusaidia na kama hutaki basi acha kupeleka kazi zako. Maana kama kweli wewe umesoma ungejua 'editing' na 'proof reading' sio kudumaza elimu. Hiyo ni taaluma ya watu wachache na sio kila mwanafunzi wa Masters or PhD ni editor au ana ujuzi wa ku-proof read. Hata ma-professor wanapeleka kazi zao kuwa edited na wataalam. Sasa ubaya hapo ni nini? Mbona kuna watu wanaandika humu mambo ya kipuuzi zaidi na hamlalamiki? Tulizaneni akili.
Pia tumia hii kwenye citations, inasaidia kama una projects nyingi...
EasyBib: Free Bibliography Maker - MLA, APA, Chicago citation styles
Jamani wana JF naomba nitoe shule kidogo kuhusu Mradi walioufungua hao ndugu zetu. Kwanza siyo mradi Mgeni hapa nchini na kwingineko Duniani. Ni kitu kinafanyika katika vyuo vikuu vingi na maarufu kuliko vyuo vyetu vya kibongo. Nakubaliana na mawazo kuwa watu wafanye kazi independently ili kujenga umahiri katika fani yoyote ile amabayo mtu anasomea au anayofanyia utafiti. Lakini tukumbuke kuwa proof reading of dissertation (s) siyo kumfanyia mtu utafiti wala kumwandikia mtu wawazo. Nikuwa mtu anakuwa amekwisha fanya tafiti na ameandika matokeo ya utafiti wake. Ripoti inaweza kuwa kurasa zaidi ya 100! kusoma ripoti nzima wewe mwenyewe kwa maana ya kuupitia upya unaweza usigundue makosa kwa maana mawazo uliyatoa wewe na uliyaandika wewe kwahiyo kugundua makosa siyo rahisi kama vile unyoofu wa sentensi, koma, kituo kikuu na alama nyingine nyingi. Mtu mwingine tofauti na mwandishi ni rahisi kufanya editing kwa namana hiyo.
Kingine nikuwa, proof reading kwa mtu wa Masters na PhD inafanyika kwa mtu ambaye tayari anajua kuwa anataka nini na siyo kweli kuwa kila wazo la proof reader ataikubali. Lazima wata-negotiate namna ya kuweka wazo linaloonekana kuwa linahitaji kuboreshwa katika ripoti. Lakini pia ieleweke kuwa proof reading inasaidia kuokoa muda wa uandishi wa ripoti ya utafiti au kitu chochote kile kama vile articles nk. Niwaulize ninyi mnaobisha kuwepo kwa kazi hii kuwa Wahariri wa Magazeti wanadumaza akili za wanaoandika articles au makala katika magazeti?
Katika masomo ya Sayansi na Hisabati (science and mathematics subjects) kuna matumizi ya calculator, hivi, zinafaa kutumika mashuleni?Hivi, calculator zinadumaza ubongo za wanafunzi wetu Tanzania?Kuna matumizi ya computer katika kufanya mambo mbali mbali hata katika planning, kuchora majengo, kufanya mahesabu nk; hivi, nayo hayafai?
Hebu fikiria hawa watu na mabango yao hapa chini, je wangeenda kwa proof reader haya makosa yangeonekana?
SCOOL ; YOUR WELLCOME; Nk.
Kwaheri wandugu!