Walete kina mshamba_hachekwi , Leejay49 watoe ushuhuda hii hesabu ya darasa la sita na kidato cha pili imewapa funzo gani.Ngoja waje wajuzi na wataalam wa mapendo wakupinge
Nakubaliana na wewe mkuu.. Distance relationship inahitaji moyo haswaaWalete kina mshamba_hachekwi , Leejay49 watoe ushuhuda hii hesabu ya darasa la sita na kidato cha pili imewapa funzo gani.
Love isn't physics....Walete kina mshamba_hachekwi , Leejay49 watoe ushuhuda hii hesabu ya darasa la sita na kidato cha pili imewapa funzo gani.
Ushai kua na mahusiano ya mbaliLove isn't physics....
There are exceptions to that rule.
Hapana mkuu😂Ushai kua na mahusiano ya mbali
Mimi bado sijapata wa mbali wakufanyia majaribio.. nadhani wanandoa tu ndo wanaweza kudumu kwenye hayo mahusiano,, the rest hakuna kitu 😃Ebu chagua graph yako hapo juu mkuu.
Kama hivyo sawaHapana mkuu😂
Wanandoa hao nao wawe na upako haswa, leo kuna thread Mamchungaji anasimulia jinsi shughuli za mbali za mumewe zilivyompelekea kujichua licha ya kua na mchepuko.Mimi bado sijapata wa mbali wakufanyia majaribio.. nadhani wanandoa tu ndo wanaweza kudumu kwenye hayo mahusiano,, the rest hakuna kitu 😃
Mtihani Sana aiseeWanandoa hao nao wawe na upako haswa, leo kuna thread Mamchungaji anasimulia jinsi shughuli za mbali za mumewe zilivyompelekea kujichua licha ya kua na mchepuko.
View attachment 2863617Kwa unavomjua mpenz wako na unavojijua ipi itakua graph ya penzi lako mkitengani kwa umbali flan?
Wakati Physics inasema Umbali gawia Muda unapata Mwendokasi, umewahi jiuliza huo mwendokasi ni wa kwenda wapi?
Kwenye Mapenzi hiyo ni speed ya kuachwa.
Ila Wahenga wakajifariji kwamba Safari siyo kifo, Bella akasema atarudi.
Wakuu hii equation ya Distance/time haijawahi mwacha mtu salama haijalishi mnapendana kiasi gani.
Kwamba wahuni wakimtokea Mpenzi/Mkeo akawajibu mimi nina mtu wangu huwa wanamuuliza yupo wapi? Utasikia anafanyia kazi/anasoma mkoani (distance, S)
Hapa ndo vijana tunasema ni swala la muda(t) tu Kumaanisha hakuna Penzi tena hapo.
Iweni na Sabatho Njema.