Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sasa hata akikudanganya utajuaje? Kuna muda watu tunapenda kuongopewa, hakuna haja ya kuuliza maswali ambayo majib unayo.Hii hali kweli ilifika mkuu mtu anakutak uwe boua maana kila swali unalouuliza hana majibu sahih matokea yake anachoka kujieleza anaanza kibri.