Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Huna hata ma best friends huko chuoni😃sina hela nifanyeje sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hata ma best friends huko chuoni😃sina hela nifanyeje sasa?
ukishaomba tu nao wanaomba, ndo mlivyo😂Huna hata ma best friends huko chuoni😃
😳vitoto vyenzie alisema havitaki....anataka akina sisiHuna hata ma best friends huko chuoni😃
Si unawakatalia tu😃😃😂, mnaachana ukishakula tayari.. Afu wanachuo hawanaga mambo mengi, unataka kuniambia ata Afu tatu tatu za chipsi yai huna kweli??ukishaomba tu nao wanaomba, ndo mlivyo😂
Aitoe wapi nae ni afu tatu?Si unawakatalia tu😃😃😂, mnaachana ukishakula tayari.. Afu wanachuo hawanaga mambo mengi, unataka kuniambia ata Afu tatu tatu za chipsi yai huna kweli??
Basi mwache aendelee kula mkono wake😳vitoto vyenzie alisema havitaki....anataka akina sisi
Jamani😂😂😂, anazopewa za matumizi abane .. matumizi yenyewe ndo kama hayoAitoe wapi nae ni afu tatu?
sio kwamba nawapotezea muda?🤣Si unawakatalia tu😃😃😂, mnaachana ukishakula tayari.. Afu wanachuo hawanaga mambo mengi, unataka kuniambia ata Afu tatu tatu za chipsi yai huna kweli??
😂😂😂😂na sisi na utoto wake tunamwomba pesa vivyohivyoBasi mwache aendelee kula mkono wake
Mama mkinga,baba mpare unadhani mtoto yupojeJamani😂😂😂, anazopewa za matumizi abane .. matumizi yenyewe ndo kama hayo
Una upendo wa ajabu,, Hadi unawaza side effects 😬😂😂sio kwamba nawapotezea muda?🤣
Hiyo ni pie haiepukiki😂😂😂😂na sisi na utoto wake tunamwomba pesa vivyohivyo
Na wakinga walivyo wabahiri Sasa😂😂Mama mkinga,baba mpare unadhani mtoto yupoje
😂😂😂 wapare umewaacha wapiNa wakinga walivyo wabahiri Sasa😂😂
Sema wapare Sijaishi nao, Sina experience kabisa 😃.. Basi kijana Hana budi kula kwa mikono Hadi pale atakapo...... hata sijui Hadi lini😬😂😂😂😂😂😂 wapare umewaacha wapi
mimi mchaga 100%Mama mkinga,baba mpare unadhani mtoto yupoje
Ndiyo utatomber hela mkuumimi mchaga 100%
😂 alafu penzi likaendelea au lilikufa?Sijakomoa ila nliconnect to nearby bluetooth[emoji23]