Distance(S) ÷ Time (t) ; The most confusing Love equation

Distance(S) ÷ Time (t) ; The most confusing Love equation

Hii hali kweli ilifika mkuu mtu anakutak uwe boua maana kila swali unalouuliza hana majibu sahih matokea yake anachoka kujieleza anaanza kibri.
Sasa hata akikudanganya utajuaje? Kuna muda watu tunapenda kuongopewa, hakuna haja ya kuuliza maswali ambayo majib unayo.
 
Ikitokea mtu akaingilia penzi lako na ashaambiwa uko mbali mshenzi anajitahid sana kucare yan uhindi wote na ufilipino anammwagia mpenzi wako uonekane wewe hujui lolote kabisa, hapo ndo unalinganishwa mwisho unazidiwa kete unaachwa
Imeisha hiyo si unajua kwenye mteremko huitaji kuchochea pedali za baiskeli, unashuka tu
 
Back
Top Bottom