Disturbing video shows Police kill unarmed man in Eastleigh

Disturbing video shows Police kill unarmed man in Eastleigh

Nahisi polisi wale wameona ifanyike hadharani kuwaonya vijana wengine kwamba kitakachofanyika ndio hicho.

Huo ni ujumbe kama hilo genge lipo na linaua polisi na RAIA kuna haja ya kuchukua hatua madhubuti ila ile style ya kumkamata na kumuua vile ukiwa umemshika inatia huruma.
Askari aliyejua sheria hawezi Fanya hivo kama suala ni kuwateketeza hao wahalifu kuna sehemu za kufanya hayo mauaji sio Mbele za RAIA inaleta Picha mbaya na mahakama za nini sasa kama polisi watachukua hatua namna hii
 
Actually those thugs were Somali killed by a Somali police officer. They were mostly harassing other Somalis in Eastleigh
Everyone (almost) in Kenya is tribal including the president! So am not surprised when another kenyan puts a tribal tag on the murder of two suspects in the street, you are just part of the statistics. Next!
 
Everyone (almost) in Kenya is tribal including the president! So am not surprised when another kenyan puts a tribal tag on the murder of two suspects in the street, you are just part of the statistics. Next!
It was just a btw. Not a tribal thing
 
Kabla hujatukana
Jifunze kuandika kiswahili
Motochini nimekueleza huko kwengine hicho Kiswahili hakina kazi. Bora umeelewa, chieth. Akili duni. People are building Nuclear Reactors nawe uko hapa unaongea kuhusu Kiswahili. Kwani we mswahili ? Fala.
 

A video, shared widely on social media, appears to show a non-uniformed officer shooting dead an unarmed man

In the video, a police fires at a wounded man lying on the ground multiple times in broad daylight as members of the public watch in Eastleigh, Nairobi.

Nairobi County Police commander Japheth Koome confirmed the Friday incident saying the suspect was wanted for killing two police officers from Kayole and Soweto last month.

“I buried a corporal from Kayole yesterday. The same gangsters shot dead another officer yesterday,” he said.

The police boss vowed to hunt down armed criminals who kill police officers.

“Tell all gangsters out there that when they kill an officer I am ruthless and they will get it from me,” said Mr Koome.

In the footage shot from a balcony, a man is seen lying in a pool of blood on the street while another is confronted by three men, two of them holding pistols.

A crowd is gathered around the scene and the man appears to be pleading with the officers.

Twenty seconds into the clip, an officer pulls a man to open space and shoots him about five times at close range.

The man falls down and the officer is seen stepping on him as he lay on the ground as another man, believed to be an officer, walks to him and hands him another pistol.

He pumps some more bullets into the man, but he is not done.

He then walks away from the wounded man and appears to be reloading his firearm.

Walking comfortably over the young man who is writhing in pain, the officer delivers the final blow, a bullet on the back of the man's head.

The video has elicited mixed reactions from Kenyans. Some condemned the act while others praised the actions of the officer for a ‘’job well done”.

A social media user by the name, Mtoto Wa Mungu commented, "Those are thugs who have been terrorising people in Eastleigh estate. He was armed and killed a police officer. Any armed thug should be arrested, stoned and shot. Period."

Josphat Koech commented, "Seriously, why should someone who has been arrested be killed? This police officer should be arrested ASAP. It's wrong."

Source: Disturbing video shows police kill unarmed man - VIDEO


The day you will find yourselves in the hands of these pieces of shit, utabadilisha maoni yako. The day they will roll up into your house with ceskas blazing, like they did at mine, I don't know if you will speak the same way. Am sure they have killed people. They even kill cops and take their uniforms. Siezi hurumia Jambazi mimi. Waminywe ndengu hadi kwa mapua for all i care
 
Motochini nimekueleza huko kwengine hicho Kiswahili hakina kazi. Bora umeelewa, chieth. Akili duni. People are building Nuclear Reactors nawe uko hapa unaongea kuhusu Kiswahili. Kwani we mswahili ? Fala.

Sema ulinieleza kule Kenya Talk full ukabila na Chuki,
Nami nilikueleza hakuna Lugha inaitwa Sheng
 
Sema ulinieleza kule Kenya Talk full ukabila na Chuki,
Nami nilikueleza hakuna Lugha inaitwa Sheng
As a Tanzanian, how can you teach Kenyans about phenomena that are entirely Kenyan ? How can your thick self understand the complexities of a dynamic and evolving urban lingua like sheng' ? Ndo maana tunawadharau. akili duni.
 
Sema ulinieleza kule Kenya Talk full ukabila na Chuki,
Nami nilikueleza hakuna Lugha inaitwa Sheng
Nilikuona Kenya Talk ati unalecture Kenyans kutumia Swahili sanifu.....dude!

Uganda threatening to opt for Tanzania SGR

Na si ulipigwa mambao na hao wathii, vile pale huwanga wabaya! Boss, achanga utiaji. Ungestick tu kwa topic, juu wale walikuwa wakibonga ngoso enye najua unaelewa vipoa tu, na wewe kuwachapia hio swa yako tu.

Hiyo ilikuwa ka kuingia kwa keja ya msee na kumshow vile aishi life yake na kudo mambo yake, sio kitu powa aisee. Achana na wakenya wachape swa kistyle yao!
I hope umenyita
 
Nilikuona Kenya Talk ati unalecture Kenyans kutumia Swahili sanifu.....dude!

Uganda threatening to opt for Tanzania SGR

Na si ulipigwa mambao na hao wathii, vile pale huwanga wabaya! Boss, achanga utiaji. Ungestick tu kwa topic, juu wale walikuwa wakibonga ngoso enye najua unaelewa vipoa tu, na wewe kuwachapia hio swa yako tu.

Hiyo ilikuwa ka kuingia kwa keja ya msee na kumshow vile aishi life yake na kudo mambo yake, sio kitu powa aisee. Achana na wakenya wachape swa kistyle yao!
I hope umenyita

Umeandika kama umekalia moto!!
Kenya talk haina hata mvuto
upumbavu tu
watu wamekalia chuki tu
kule huwa napita tu na sijawahi kukaa zaidi ya dak 5
Mtu ana kuambia ondoka humu!!
Nikawauliza humu kuna lipi la maana!!
Full ukabila,Chuki
hamtaki wageni kuchangia kwenye kiforumu chenu uchwara
ndio maana Topic ya mwezi mzima ina vws 200 !!

Kenya talk mnaiweza wapuuzi watupu
Ningumu hata uwe na royo kama yapaka
kule huwezi kukaa Nusu saa!!
Mijitu imejaa chuki,Husda na kila ubaya
 
Umeandika kama umekalia moto!!
Kenya talk haina hata mvuto
upumbavu tu
watu wamekalia chuki tu
kule huwa napita tu na sijawahi kukaa zaidi ya dak 5
Mtu ana kuambia ondoka humu!!
Nikawauliza humu kuna lipi la maana!!
Full ukabila,Chuki
hamtaki wageni kuchangia kwenye kiforumu chenu uchwara
ndio maana Topic ya mwezi mzima ina vws 200 !!

Kenya talk mnaiweza wapuuzi watupu
Ningumu hata uwe na royo kama yapaka
kule huwezi kukaa Nusu saa!!
Mijitu imejaa chuki,Husda na kila ubaya
Really?! Kweli kuna ukabila huko Kenya Talk, ama ni perception/expectations zako juu ni Kenyan forum? Mambo hayo hayakubaliki kabisa Kenya Talk.

Sasa hapa ukabila ulikuwa
wapi?

Uganda threatening to opt for Tanzania SGR

Ama hebu leta hizo threads uliona kumejaa cheche za kikabila?

Hakuna aliyekunyima haki ya kuchangia huko, sema tu wewe na hizi kauli zako za kuwaponda wakenya kila mara na kuwasuhudu maalshabb ndio hujutia taabani mle.
 
Really?! Kweli kuna ukabila huko Kenya Talk, ama ni perception/expectations zako juu ni Kenyan forum? Mambo hayo hayakubaliki kabisa Kenya Talk.

Sasa hapa ukabila ulikuwa
wapi?

Uganda threatening to opt for Tanzania SGR

Ama hebu leta hizo threads uliona kumejaa cheche za kikabila?

Hakuna aliyekunyima haki ya kuchangia huko, sema tu wewe na hizi kauli zako za kuwaponda wakenya kila mara na kuwasuhudu maalshabb ndio hujutia taabani mle.

Kwanza nipe Orodha ya watanzania kule
Nipe orodha ya Wanyarwanda kule
Nipe Orodha ya Waganda kule
jiulize kwa nini Wanashindwa kuwapo kule!!


Mmejaa umimi,Chuki msio penda kukosolewa!!

Usiniwekee link
kule Sinaga shida sana yakwenda
kuingia kule labda baada ya wiki tena napita tu Siona cha maana kunifanya kupenda kwenda kule.
Niheri forum ya kisomali kuliko ya kikenya
 
Nimepatwa na woga na hofu sana hata nchi yetu kuwa na ujirani mwema na Kenya, kuna clip nimeona askari akiwachomoa raia katikati ya watu na kuwapiga risasi hadharani . Hata kama ni watuhumiwa inamaana kenya mahakama haina kazi bali police sheria zipo mikononi mwao??
Mahakama hizi za Kiafrika?
 
Nilikuona Kenya Talk ati unalecture Kenyans kutumia Swahili sanifu.....dude!

Uganda threatening to opt for Tanzania SGR

Na si ulipigwa mambao na hao wathii, vile pale huwanga wabaya! Boss, achanga utiaji. Ungestick tu kwa topic, juu wale walikuwa wakibonga ngoso enye najua unaelewa vipoa tu, na wewe kuwachapia hio swa yako tu.

Hiyo ilikuwa ka kuingia kwa keja ya msee na kumshow vile aishi life yake na kudo mambo yake, sio kitu powa aisee. Achana na wakenya wachape swa kistyle yao!
I hope umenyita
Sareana na huyu Mbleina atakueka stress bure. Huyo msee ni fala sana.
 
Nimepatwa na woga na hofu sana hata nchi yetu kuwa na ujirani mwema na Kenya, kuna clip nimeona askari akiwachomoa raia katikati ya watu na kuwapiga risasi hadharani . Hata kama ni watuhumiwa inamaana kenya mahakama haina kazi bali police sheria zipo mikononi mwao??
4.jpg

Heri Nyinyi Watanzania mahakama zenu zinafanya kazi.
 
Back
Top Bottom