DIT B.eng in oil & gas engineering Vs B.sc in Petroleum engineering

DIT B.eng in oil & gas engineering Vs B.sc in Petroleum engineering

fizzo 1

Member
Joined
Oct 14, 2017
Posts
12
Reaction score
7
Hizi shahada mbili tofauti, sema kwa kuzingalia utasema ni sawa
 
Kama naliona ligi linaanza vile. Ngoja niwahi siti ya mbele
 
lengo lako ni nini sasa?
Lengo lipo wazi, kutambulisha jamii hasa wanaotaka kusoma hizi kozi ndani na nnje ya nchi kunautofauti mkubwa Sana japonica ktk nchi yetu jamii na ata wasoma huwa hawaoni tofauti mpa waeleweshwe na wanaosoma hz course au wataalam, japo kwa Tz ndio imeanza DIT kama course mpya hivi
 
Lengo lipo wazi, kutambulisha jamii hasa wanaotaka kusoma hizi kozi ndani na nnje ya nchi kunautofauti mkubwa Sana japonica ktk nchi yetu jamii na ata wasoma huwa hawaoni tofauti mpa waeleweshwe na wanaosoma hz course au wataalam, japo kwa Tz ndio imeanza DIT kama course mpya hivi
mhhhhh, ipo DIT hii kitu.
inawezekana sijawa up to date na mambo ya DIT
 
Imeanza mwaka wa masomo 2015/2016 saa hv 2017/2018 ndio imefikisha intake 3
 
Hizi shahada mbili tofauti, sema kwa kuzingalia utasema ni sawa
Hizi shahada mbili tofauti, sema kwa kuzingalia utasema ni sawa

Mkuu hakuna tofauti yoyote unapoenda kusomea

Ukisikia neno petroleum=oil+gas

Oil and gas zote ni hydrocardon compound moja ipo ktk liquid state(oil) na nyingine gas state (natural gas) na njia ya kutafuta,kuchimba na kuzalisha zinafanana

Mfano mtu akisoma petroleum(oil+gas) engineering anaspeciaize katika maeneo yafuatayo


· Petroleum (oil+gas) exploration =utafutaji wa mafuta na gasi

· Petroleum (oil+gas) drilling=uchimbaji wa mafuta na gasi

· Petroleum (oil+gas) production=uzalishaji wa mafuata na gasi

· Petroleum (oil+gas) refinery/processing=uchakataji wa mafuta na gasi

· Petroleum (oil+gas) transportation,stoarage& consumption=usafirishaji,uhifadhi na utumiaji wa mafuta na gasi

Kwa urahisi hayo maeneo niliyoyataja katika soko la mafuta na gsi wanayagawanya katika sehemu kuu tatu

1. Upstream

Means Exploration,drilling& production of oil and gas

2. Midstream

Means refinery/processing of crude oil and gas

3. downstream

Means transportation,storage and cionsumption of oil and gas
 
Mkuu unaposema petroleum (oil +gas) unakosea. PETROLEUM (From Latin😛ETRA mean "ROCK" and OLEUM mean "OIL" so Petroleum (rock + oil), hapo sasa ndio maana ata ukiangalia mitaala ya hizi kozi ndani ya nchi na ata nnje ya nchi inatofauti kubwa sana
 
Sio kweli mkuu Petroleum (rock + oil) that means petroleum is an Latin name which are formed by two names Petra mean rock and oleum mean oil
 
Kwa muhatasari
Petroleum Engineering inahusu elimu ya huko mafuta yanapotoka chini ya ardhi kujua ukubwa wa reservoir, kiasi cha mafuta na gasi vilivyopo ardhini, aina ya miaamba , urahisi wa kuyatoa na kama inawekekana kuyatoa na kupata faida ( commercial )

Oil & Gas Engineering inahusu elimu mitambo unayo iona au inajengwa juu ya ardhi ya utoaji, kusafisha na kusafirisha mafuta na gasi.
 
Sio kweli mkuu Petroleum (rock + oil) that means petroleum is an Latin name which are formed by two names Petra mean rock and oleum mean oil


Watu wengi wanafikiri mtu akisoma petroleum anasoma tu oil pasipo kugusa gesi

Hivyo nilimaanisha mtu akisoma petroleum anasoma kwa undani sana kuhusu oil+gas

oil / gesi zinatokana na mabaki ya wanyama na mimea wa majini waliokufa miaka mingi iliyopita

Hawa wanayama wakifa kule baharini wanazama chini na kufukiwa na matope na mawe.kadiri wanavyozidi kufukiwa chini yale mabaki yanajikusanya mengi na kuform mwamba unaoitwa reservoir. Kwa sababu chini kwenye ardhi kuna joto kali na hayo mabaki yapo kule kwa mgandamizo mkubwa yanaoza zaidi na kubadilika kuwa mafuta au gesi.

Sasa ili hayo mabaki yabadilike kuwa oil au gasi inategemea kwaza na aina ya hayo mabaki na kule chini yamefukiwa katika kina cha kiasi gani na temperature na pressure ya kule chini ni ngapi

Kwa hiyo mtu anaesoma petroleum huwezi kusema hasomi gesi n vitu vinavyofanana kwa asilimia kubwa kuanzia formation

Pia maengineer wanapochimba visima hawajui watapata gesi au mafuta mwanzoni hivyo nija za kutafuta na kuchimba mafuta au gesi zinafanana tofauti inakuja tu kwenye njia za kuchakata na matumizi japo pia zinarelate kwa kiasi kikubwa

Ukishapata gesi ukiizalisha unaichakata /process illi kuondoa uchafu inabaki pure gas methane then unaisafirisha kwa pipe na kwenda kwa watumiaji

Ukizalisha mafuta unaondo uchafu unayapipe kwenda kwenye refinery plant unaseparate product mabalimbali zilizopo katk crude oil kama petrol,diesel etc. the vinaenda kwa mtumiaji

Pia kati kuchakata gesi kuna product unaweza ukazipata amabazo zinapatikana unapo refine crude oil

Kwa hiyo unaona hapo mafuta na gesi ni vitu vipo similar kwa kiasi kikubwa katika area tofauti
 
Kwa muhatasari
Petroleum Engineering inahusu elimu ya huko mafuta yanapotoka chini ya ardhi kujua ukubwa wa reservoir, kiasi cha mafuta na gasi vilivyopo ardhini, aina ya miaamba , urahisi wa kuyatoa na kama inawekekana kuyatoa na kupata faida ( commercial )

Oil & Gas Engineering inahusu elimu mitambo unayo iona au inajengwa juu ya ardhi ya utoaji, kusafisha na kusafirisha mafuta na gasi.

MKUU KATIKA PETROLEUM INDUSTRY KUNA MAENEO MAKUU MATATU
Upstream+midstream+downstream
Note
upstream=exploration+drilling+production of oil/gas
midstream=oil refinery+natural gas processing
downsteam=transportation l+storage+consumption of oil/gas
au sometime midstream haitajwi sana inamezwa na downstream.na unakuta mda mwingi wanataja upsteam na downsteram
hilo eneo la downstream ndio linahusu kusoma na kudesign hiyo mitambo ya uchakataji na usafirishaji wa mafuta na gasi
hivyo katika degree ya kwaza lazima maeneo yote hayo uyasome na kuyaelewa vzri inapokuja sasa second degree ndio unachagua eneo moja la kuspecialize
 
Oil and gas engineering, unasoma sehemu tatu Upstream, midstream & downstream so Petroleum engineering deal with Upstream only
Una hakika oil and gas engineering anaijua downstream industry vizuri au hiyo upstream vizuri, nikimpa maswali ya downstream au upstream ataweza kunijibu kwa ufasaha,
 
Back
Top Bottom