Jidanganye, kuna watu wengi hawajasoma CompScience ila kazi zao wanafanya, alaf kuna kitu kinaitwa AI, hawa wa CompScience na Software Engineering kazi zao zipo hatarini sana.By the way hizi course zinazohusu computer course nzurii ni computer science
Software Engineering sasa hivi ni dili saa kwenye kampuni kubwa za TechnologyJidanganye, kuna watu wengi hawajasoma CompScience ila kazi zao wanafanya, alaf kuna kitu kinaitwa AI, hawa wa CompScience na Software Engineering kazi zao zipo hatarini sana.
Mmmh kumbe! Sawa kasome.Software Engineering sasa hivi ni dili saa kwenye kampuni kubwa za Technology
Hata kama AI ipo haiwezi kumreplace mtu moja kwa
moja
DIT wako vizur, ndo chuo kinachosifika kwa kutoa good engineers, nina washkaji zangu wamesoma hapo Engineering wako vizur sana.So mkuu unanishaur nikasome wap?