tranter
Member
- Jan 10, 2023
- 40
- 46
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimechaguliwa kujiunga na chuo cha DIT (Dar es salaam) pamoja na MUST(Mbeya) katika course ya computer engineering.
Swali langu ni je, niende wapi kati ya hivo vyuo ambacho kipo more competent katika kutengeneza engineers katika hyo field?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimechaguliwa kujiunga na chuo cha DIT (Dar es salaam) pamoja na MUST(Mbeya) katika course ya computer engineering.
Swali langu ni je, niende wapi kati ya hivo vyuo ambacho kipo more competent katika kutengeneza engineers katika hyo field?