DIT mwaka huu hakuna mkopo kwa wale wa direct entry

DIT mwaka huu hakuna mkopo kwa wale wa direct entry

Kadabrah

Member
Joined
Nov 8, 2013
Posts
54
Reaction score
7
Mi ningependa sana kuchukulia degree yangu dit lakin nasikia kwa mwaka huu haitoi priority kwa wale wa A'level ktk swala la mikopo, inawapa priority wale wa diploma 2. na kweli ukiangalia katika tcu guidebook upande wa wale wa diploma wameandikiwa priority ila wa advance hapakuandikwa kitu wameacha blanks.

Je hii inamaanisha nikiomba kozi dit ctopewa mkopo?
 
Mi ningependa sana kuchukulia degree yangu dit lakin nasikia kwa mwaka huu haitoi priority kwa wale wa A'level ktk swala la mikopo, inawapa priority wale wa diploma 2. na kweli ukiangalia katika tcu guidebook upande wa wale wa diploma wameandikiwa priority ila wa advance hapakuandikwa kitu wameacha blanks. Je hii inamaanisha nikiomba kozi dit ctopewa mkopo?

na wewe umefaulu kwenda chuo?? Ama kweli hii BRN.mi nakushauri usiende chuo coz utadisco.

Kama TCU guide book unashindwa kuielewa msuli wa engineering hutauweza dogo.
 
Mi ningependa sana kuchukulia degree yangu dit lakin nasikia kwa mwaka huu haitoi priority kwa wale wa A'level ktk swala la mikopo, inawapa priority wale wa diploma 2. na kweli ukiangalia katika tcu guidebook upande wa wale wa diploma wameandikiwa priority ila wa advance hapakuandikwa kitu wameacha blanks. Je hii inamaanisha nikiomba kozi dit ctopewa mkopo?

Unauliza au unatoaa ushauri....
 
na wewe umefaulu kwenda chuo?? Ama kweli hii BRN.mi nakushauri usiende chuo coz utadisco.kama tcu guide book unashindwa kuielewa msuli wa engineering hutauweza dogo.

ushampga ngumi tayar,ungemuelimisha tu kisingeharibika chochote kama kudsco hata baed wanapgwa panga as normal..lastly engeneering mkopo ni %zote pale dit
 
ushampga ngumi tayar,ungemuelimisha tu kisingeharibika chochote kama kudsco hata baed wanapgwa panga as normal..lastly engeneering mkopo ni %zote pale dit

Nijuavyo mimi ukiwa na grade inayokubaliwa utapata loan 100%, whether ni Diploma/ FTC au Form6! Miaka tu ndo hutofautiana, kwamba yule wa Diploma/FTC atasoma degree miaka3 na yule wa Form6 atasoma miaka4!

Yule wa form6 akifika second year ataungana na wale wa Diploma/FTC kumaliza degree.
 
freedom of speech you can say whatever you want, I don't give a sh*t nakuchukulia mropokaji tu ZEE zima unashindwa kumwelewesha mwanao duuuuh
 
Mi ningependa sana kuchukulia degree yangu dit lakin nasikia kwa mwaka huu haitoi priority kwa wale wa A'level ktk swala la mikopo, inawapa priority wale wa diploma 2. na kweli ukiangalia katika tcu guidebook upande wa wale wa diploma wameandikiwa priority ila wa advance hapakuandikwa kitu wameacha blanks. Je hii inamaanisha nikiomba kozi dit ctopewa mkopo?

unapata....ni makosa tu katika uchapaji....ule mstari haukutakiwa kuwepo pale...trust me bro
 
wajamen hemb kwel 2peni info vizur maana havieleweki ukisoma kwenye site yao{new dit fees structure}
 
Back
Top Bottom