Ditram Nchimbi, Zawadi Mauya, Adeyumu Saleh na Ninja hawana uwezo tena wa kuichezea Yanga

issue si hao wachezaji, yanga hamna timu. jana ndio mumeiona timu yenu sasa japo mumeshinda
 
Aisee nimecheka hapo pa youkuba kuitwa mugalu ! Haya watoweNi kwa mkopo!
 
issue si hao wachezaji, yanga hamna timu. jana ndio mumeiona timu yenu sasa japo mumeshinda
kama uliangalia kipindi cha kwanza basis utakubaliana na mm kuwa yanga ni timu bora Africa mashariki na kati
 
job,farid na fei hao sina shida nao mkuu
 
Aisee nimecheka hapo pa youkuba kuitwa mugalu ! Haya watoweNi kwa mkopo!
Yakouba ni mchoyo sana anapokuwa anaelekea golini na mpira pia ana tamaa ya kufunga wakati hajui kufunga .

Nchimbi , Zawadi Maua na Ninja wameanza kujionesha wazi kupwaya katika kikosi wasitumike wajitathimini ikiwezekana watafutiwe mkopo.
 
Hata yule fiston mayele hamna kitu sema kwasababu ameifunga simba uto watanishambulia ila mda ni mwalimu mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…