Ni mtangazaji mzuri ila uteam ndio uliokuwa unamrudisha nyuma.Njaa tu. Chezea kuwa jobless
ngoja ntamcheki na mimi.mkoko tonombe ndo nini?Sasa nimejuaje kama ni copy ya mkoko tonombe?
Duhh Ulinitisha kidogo nilifikiria yule mchizi wa saouth Africa John Vuli Gate kashaukata kumbe kumbu John vingunguti au ndugu hawa naona majina yanashabihiana.Haya twende kazi.Kuna jamaaetu anaitwa John huku vingunguti,ni rais wa kikoba.
Diva anafanana na aliens wa sayari ya Lyra [emoji4]
Sio njaa ni ukweli usiopingika Diamond ndo the [emoji238] of bongo fleva .... Hata ukimuona konde boy jina la Mond lazima liongelewe , Hbaba , Mwijaku hawapati airtime bila dmond kinywan mwao
Anatafuta kipindi wasafi siku nyingi tu anatolewa njeeBut you donโt have kumsifia mtu only because una uadui na upande mwingine, diva ni mnafiki tu, it might be true ni number one but hizo sifa haziko clean zina unafiki ndani yake na shobo
Anatafuta kipindi wasafi siku nyingi tu anatolewa njee
Alaf nasikia baba ake alikuwa mtu mkubwa tu serikaliDiva ako na mental disorder, na ako na nuksi kila sehem , si kwenye mahusiano , kazi hata maisha ya kawaida tu nuksi sijui lipoje linakera mno mbwa hili
Amesema ukweli Ila Nia yake atapambana nayo yeye mwenyewe....But you donโt have kumsifia mtu only because una uadui na upande mwingine, diva ni mnafiki tu, it might be true ni number one but hizo sifa haziko clean zina unafiki ndani yake na shobo
Msiba upi mkuuMwambie kazi haiombwi mtandaoni,aandike tu barua itajadiliwa.
Wati tuna msiba anatusumbua.
John wickMsiba upi mkuu
๐๐๐๐๐๐๐ฎHuyu kigagula unaweza dhani ni pisi kali kumbe copy ya mkoko tonombe
๐คฃ Mahari yake tshs millioni hamsini halafu unamfananisha na Tomombe (sio Tonombe)Huyu kigagula unaweza dhani ni pisi kali kumbe copy ya mkoko tonombe
๐๐Huyu kigagula unaweza dhani ni pisi kali kumbe copy ya mkoko tonombe