Diva amenyanyulia mikono Diamond, ndio msanii namba moja kwa sasa Tanzania

Diva amenyanyulia mikono Diamond, ndio msanii namba moja kwa sasa Tanzania

Kuna jamaaetu anaitwa John huku vingunguti,ni rais wa kikoba.
Duhh Ulinitisha kidogo nilifikiria yule mchizi wa saouth Africa John Vuli Gate kashaukata kumbe kumbu John vingunguti au ndugu hawa naona majina yanashabihiana.Haya twende kazi.
 
Atafanyaje na amefulia hana namna sababu amezoea kukaa kwenye social medias, under big brand radio kama clouds, sasa hayupo, atasikikaje zaidi ya kusema hayo..na pengine zaidi anamtafuta ili amkaze, awe danga lake! These shit celebrities..
 
Sio njaa ni ukweli usiopingika Diamond ndo the [emoji238] of bongo fleva .... Hata ukimuona konde boy jina la Mond lazima liongelewe , Hbaba , Mwijaku hawapati airtime bila dmond kinywan mwao

But you don’t have kumsifia mtu only because una uadui na upande mwingine, diva ni mnafiki tu, it might be true ni number one but hizo sifa haziko clean zina unafiki ndani yake na shobo
 
But you don’t have kumsifia mtu only because una uadui na upande mwingine, diva ni mnafiki tu, it might be true ni number one but hizo sifa haziko clean zina unafiki ndani yake na shobo
Anatafuta kipindi wasafi siku nyingi tu anatolewa njee
 
Anatafuta kipindi wasafi siku nyingi tu anatolewa njee

Diva ako na mental disorder, na ako na nuksi kila sehem , si kwenye mahusiano , kazi hata maisha ya kawaida tu nuksi sijui lipoje linakera mno mbwa hili
 
  • Thanks
Reactions: Gef
Diva ako na mental disorder, na ako na nuksi kila sehem , si kwenye mahusiano , kazi hata maisha ya kawaida tu nuksi sijui lipoje linakera mno mbwa hili
Alaf nasikia baba ake alikuwa mtu mkubwa tu serikali
 
But you don’t have kumsifia mtu only because una uadui na upande mwingine, diva ni mnafiki tu, it might be true ni number one but hizo sifa haziko clean zina unafiki ndani yake na shobo
Amesema ukweli Ila Nia yake atapambana nayo yeye mwenyewe....
 
Back
Top Bottom