Diva Azidi Kulinogesha Penzi Lake kwa GK

Diva Azidi Kulinogesha Penzi Lake kwa GK

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Mapenzi yazidi kuchukua nafasi yake katika upande wa mwanadadiva Loveness Love “Diva” kwani ameshindwa kujizuia na kuzidi kuonyesha hisia zake kwa mpenzi wake aliyenaye kwa wakati huu King Crayz GK


 
Awe anapiga picha full kila siku nusu tu tumechoka kuona nusu!!!!!
 
Si nilisikia Prezzoooo, au alishashuka kwenye hili gari??
 
Ujana ndo huu tu mwache atapumzika akiwa bibi.
 
Anatafuta kick kwa nguvu daily,kila siku anamegwa na kuachwa
 
Mapenzi yazidi kuchukua nafasi yake katika upande wa mwanadadiva Loveness Love “Diva” kwani ameshindwa kujizuia na kuzidi kuonyesha hisia zake kwa mpenzi wake aliyenaye kwa wakati huu King Crayz GK









Uyu dada namjua yupo hivi toka tunasoma wote primary anapenda umaarufu.......
 
Diva alikuwa anamuwinda Mwanafa.Kamkosa kaamua kuangukia kwa Amiri jeshi mkuu wa ECT ila FA akiomba atapewa bila shiida!
 
Umaarufu wa kumegwa na kudampiwa




Yote yote bahati nzuri nilikuwa nakaaa nae karibu.....anapenda sana maisha ya kuigiza alikuwa anapenda kuja na wasanii mtaani halafu watu kitaaa hawa muda kila mtu busy na mambo yake
 
Si nilisikia Prezzoooo, au alishashuka kwenye hili gari??

Mbona muda sana unakaribia mwaka sasa baada ya kutoka kwa Huddah akaja kwa huyu akambwaga tena hata hawakudumu sana akaenda kwa Chagga barbie nae kamwagwa juzijuzi tu hapa Chezea prezoo ww.
 
GK baada ya kufulia kimuziki anatafuta kiki kwa huyu dada bora tu ange concentrate kwenye Masters yake Hapo mzumbe yasije yakamkuta ya mkaka aliyejinyonga hapo mzumbe kisa kadisco masters.
 
Diva alikuwa anamuwinda Mwanafa.Kamkosa kaamua kuangukia kwa Amiri jeshi mkuu wa ECT ila FA akiomba atapewa bila shiida!

Haa bora tu hakumpata yani katoto kazuri Maleeka kangeishi na aina hii ya mama wa kambo loh.
 
Haya mapenzi ya mastaa ni kama mvua za vuli "hayadumu"
 
Back
Top Bottom