King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
tutasikia mengi mwaka huu,cdm ni nouma ,vibaraka wa misukule na mapandikizi watajiju!
watangazaji wa kituo kimoja redio kimewasimamisha watangazsji wake wawili kwa kosa la kumshambulia mbunge wa kigoma kaskazini Mhe Zitto Zuberi Kabwe kwenye mitandao ya twitter,facebook.. ikumbukwe mbunge huyu imekuwa ni kosa kumwandika kwa kwa mtazamo hasi..
"Ni kweli tumefikia uamuzi wa kuwasimamisha B 12, Diva na Mchomvu baada ya kukiuka baadhi ya makubaliano baina yao na kampuni" ~ Ruge
Eeh Mungu baba wa mbinguni ibariki thread hii isifutwe..
Yani diii bosi waone huruma huku mtaani kugumu
wangewafukuza tu
Mnafurahia kuona Mtz mwenzako anapokosa ajira .Tuache mambo haya wangefukuzwa kosa lao unalijua?
Na kama wasifukuzwe, we kosa lao unalijua?Mnafurahia kuona Mtz mwenzako anapokosa ajira .Tuache mambo haya wangefukuzwa kosa lao unalijua?
Mkuu umenena vyema manake watu wanashangilia tu kwamba mtu afukuzwe bila kujua kama kaonewa ama la!
Kumbe huyu Diva anaitwa Malinzi! Ahaa basi sawa! Uzungu bwana!!
Redio inayo fanya vizur hapa tanzania kwa kubebwa na umahili wa watangazaji wakal wenye mvuto sasa uenda ikapitotea katika raman ya redio za bongo baada ya kupigwa chini watangazaji wake diva.b 12. Na adamu mchovu. Nikutokana na utov wa nidhamu
Kwamaana hiyo Hara za roho by Diva,Baba John ndani ya XXL na B twangara,Bkumi nabee,B dozen,Btwelve..Au B whatever men......Itamgharimu Kusaga!