difalonely
New Member
- Jan 12, 2014
- 3
- 0
yote sawa,maisha yanaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha uwongo wanalipwa Tsh.155,000/=
na wale wa wikend show wanalipwa buku 7 kwa siku
Kaka, kwani walichopewa ni termination au suspension? Tusichanganye mambo! Kusimamishwa=suspension; kufukuzwa=termination: sheria ya mahusiano kazini inasema ukisimamishwa kazi una retain haki zako zote Kama mwajiriwa including mshahara, matibabu nk. Ukifukuzwa unapoteza haki zako zote Bali unapewa nauli ya kurudi kwenu ndani ya Siku saba
Hawajafukuzwa.. wamesimamishwa na wameshaomba radhi, Kabla ya mwezi huu kuisha watarudi kwenye vipindi.
Pia wametoa chance kwa wengine kupata ajira. Siku hizi wasomi wengi, kutesa kwa zamuwametoa chance kwa media zingine!
Adam, B12 mmetukana sana radio zingine sasa sijui mtaenda wapi masikini.
Jide anaanzisha radio yake mngeenda pale sasa Nyie ndo mliongoza mashambulizi kwake hawezi kuwaelewa.
Ushauri kwa Watu wengine ni kwamba usitukane mamba Kabla hujavuka mto.
Poleni sana ila najua lie show ya fiesta ilidoda ikasadikika ninyi ndo mlihujumu show Ruge kawaonea