mwanafyale
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 1,641
- 538
Au redio ya Taifa!!!!sidhani kama diva anaweza kuzuia maneno machafu toka mdomoni mwake mpaka aweze kufiti radio ya AZAM.
What is so special here? Kama ndivyo mkataba wao ulivyosema, na hawakutimiza mkataba huo lazima watimuliwe. WaTZ tuache tabia ya kusaini mikataba bila kujua imeandikwa nini! (Tuache uvivu wa kusoma).Wamefukuzwa kwa sababu kwenye vipindi vyao walikuwa hawaipaishi CCM
Yupo anasimamia hoteli ya mkewe labda awaajili wawe mabaamedi
Yupo anasimamia hoteli ya mkewe labda awaajili wawe mabaamedi
wajipange tuKama wana vyeti watafute kazi pengine ili maisha yaendelee
walikuhudhi nini?
Mnafurahia kuona Mtz mwenzako anapokosa ajira .Tuache mambo haya wangefukuzwa kosa lao unalijua?
"Ni kweli tumefikia uamuzi wa kuwasimamisha B 12, Diva na Mchomvu baada ya kukiuka baadhi ya makubaliano baina yao na ofisi hivyo kusababisha usumbufu mkubwa ambao ulitulazimu kuingia gharama ambazo hazikutarajiwa.
"Hatutakuwa nao kwa muda usiojulikana ingawa watu wengi wamekuwa wakinihoji juu ya hilo lakini watachotakiwa kuelewa ni kwamba hakuna ofisi isiyokuwa na sheria na taratibu za kuongoza watu wake, sasa hao wamevunja taratibu zetu," alisema Ruge bila kufafanua zaidi.