Tetesi: Diva Cloudsfm Nimeona show Ya Alikiba Zanziba, kanikuna sana , BurnaBoy kanifurahisha sana

Tetesi: Diva Cloudsfm Nimeona show Ya Alikiba Zanziba, kanikuna sana , BurnaBoy kanifurahisha sana

DivaDaily

Member
Joined
Oct 2, 2015
Posts
18
Reaction score
15
tukiendelea kuletea mtiririko wa matukio ya Diva na show yake Mpya Youtube Divathebawsetv ameulizwa na mashabiki zake kwamba je ameona show ya Mfalme Alikiba Zanzibar.

Diva amejibu ameona mtandaoni kupitia instagram na kwakweli amemkuna sana maana ni kipenzi cha watu na huwa hatumii nguvu kama nanii, baada ya kuulizwa Juu ya ushindi wa Tuzo aliopata burna boy jana na kuwaa tuzo tatu ikiwemo msanii bora Africa.

Amesema anastahili sana amekuwa nominated kwenye tuzo kubwa duniani, amefanya collabo na beyonce na wasanii wakubwa duniani ambao ni A list na amesema pia ana album ambayo ukisikiliza ha copy na kupaste ina vionjo vya kiafrica yan unatingisha kichwa mwanzo mwisho ukisikiliza album yake, Mtangazaji huyo wa Cloudsfm ala za roho amesema amefurahia sana anatamani amnunulie bia burna boy ya serengeti lager

.. Amewakilisha bara la africa vizuri nimefurahia apa nacheka natabasamu, ukitaka kuona zaidi tembelea Youtube Divathebawsetv uone diva anavyotoa matamko yenye taflani amesema tarehe 15 mwez huu pia atapost jambo kubwa sana kupitia mitandao yake ya kijamii maana ana jambo la ku break internet
IMG_4419.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tushajua anatumia mwijaku style..

Anamponda Diamond, ukimponda Diamond malaki kwa mamilioni ya followers na mashabiki wa Diamond watakuja kuangalia hiyo video au post..

Mwisho wa siku anaongeza followers, views na insights ambazo zote kwa pamoja zinakuza biashara yake..

sasa kamwambie akakamate wajinga wenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diva na yule wote akili zao sawa wanatofautiana jinsia na hela tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kapigwa hiyo kitu

Jr[emoji769]
 
Diva Kasema Ukweli, Msanii hauwezi kua Una Copy Copy nyimbo za Wenzio utegemee Makubwa

Diamond hana hit Song kwa mda sasa Anategemea Idea za Wenzake Apite Nazo
 
Randy orton, Haya ni Mawazo yako ya Kijinga yasiyo na Mashiko,. Hapo Kaongelewa Kiba na Burna boy we unakuja na Povu lako eti Kaongelewa Diamond Huku Shule nadhani ulikua unaburuta mkia kwa jinsi uelewa wako ulivyo mdogo
 
Diva Kasema Ukweli, Msanii hauwezi kua Una Copy Copy nyimbo za Wenzio utegemee Makubwa

Diamond hana hit Song kwa mda sasa Anategemea Idea za Wenzake Apite Nazo


Kampa credit Burna Boy ambaye kacopy full album
 
Back
Top Bottom