Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unajua nakupenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unajua nakupenda
ntakulea[emoji7]...ntakutunza...na utakua mmiliki halali wa chura langu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Wee chizi!ntakulea[emoji7]...ntakutunza...na utakua mmiliki halali wa chura langu
Bora ukae zako utulie ule ulale vizuri chura linenepeMimi ninachojua na ninachoamini ni kwamba Diva ndiye alieanza kumtaka GK na siyo GK alianza kumtaka Diva!!.....Huo ndo ulikuwa mwanzo wa kufail kwa penzi!....na hili liwe funzo kwa wadada wote,acheni kiherehere cha kuanza kupenda, tulieni mpendwe!!
Gwamaka Kaihula ( Gk);nikisema one enyi machizi semeni two,Ay simama na wako,FA simama na wako...,kwani hii ni mijibaba yenye uwezo kifedha,mc kwa mc ng'ali kwa ng'ali,wapi Liundi,Ludigo ni mziki mnene
Daaaaaahhhhhhhh, I real miss those golden moments!
Dah!Umenikumbusha mbali sanGwamaka Kaihula ( Gk);nikisema one enyi machizi semeni two,Ay simama na wako,FA simama na wako...,kwani hii ni mijibaba yenye uwezo kifedha,mc kwa mc ng'ali kwa ng'ali,wapi Liundi,Ludigo ni mziki mnene
Daaaaaahhhhhhhh, I real miss those golden moments!
Mie kumbe niko romantic maana birthday ya wife ni wiki mbili zijazo na nimeshamnunulia full mazagazaga kutoka nje nasubiria tu siku ifike nim-suprise
Wanawake bro wana akiri fupi km kibiriti, me wangu nilimwambia tayari kuondoka ni kiasi cha kumuaga vzr mwanae na migogoro yetu kamwe sitakubari kupeleka nje tunamaliza wenyewe, ukishindwa basi. Kwasababu unavyompenda mtu ni vile alivyo, huwezi taka GK awe km mwana FA never, wanawake wengi wanaigiza maisha, wapo fake sn. Ss ili uweze kuishi na mtu lazima ukubali kuendana na mapungufu yake. Unavomuona Magu mkewe anastahili kuitwa mama na wamefika mbali. Kwa umli wa Gk hawez ishi maisha ya sekondari kuna baadhi ya mambo ana let go afanye maisha kwa manufaa ya watoto wake. Ss km unapata demu ambaye kwa mwaka ana b.day 2 au 3 ni shida, kwanza maua yalishapitwa na wakati na zawadi unaweza pewa mda wowote ilimradi pochi ipo vzr. Inaweza kukukuta bday af umetingwa, utakopa pesa ili usiachwe? Huo ni utumwa wa mapenzi. Me mwanamke hanisumbui namuweka waz mapenz ya olevel sinaga, njo tujenge maisha, zikitutembelea tunaenda viwanja bila kujali tarehe lkn nikiwa na mabo ya msingi utakula bamia Fullstop.Wanawake hudatishwa na vitu very minor
Gwamaka Kaihula ( Gk);nikisema one enyi machizi semeni two,Ay simama na wako,FA simama na wako...,kwani hii ni mijibaba yenye uwezo kifedha,mc kwa mc ng'ali kwa ng'ali,wapi Liundi,Ludigo ni mziki mnene
Daaaaaahhhhhhhh, I real miss those golden moments!